oya dogo niaje leo sijakusoma kabisa...nivip?Aisee labda kakosea mashart
Mpenzi siku hizi nani anakubania hivi. Mwambie aache roho mbaya. Au Don kashanizid speed.
Hujanisoma wapi tenaaoya dogo niaje leo sijakusoma kabisa...nivip?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Joker ndo Nyete eeh.
Kwanini dear?mbona kila siku nipo huku
Nikiwa na wewe tumsahau huyo
Sawa
Haya yanayoendelea jukwaani usiyaamini sana...ni utani