Jokes za kwenye magroup ya whatsapp ziko lame sana.

Aisee sizani kama kuna classmate wangu aliyeko hai ata kama wako hai sizani kama nitawakumbuka tena duh ni muda mrefu sana aisee
Mkuu hapo kwenye red, pengine hao classmate wako nao pia wanawaza kama unavyowaza wewe now!
 
Kuna moja hivi nusu ya members hawana kazi basi ni mpira hadi ligi ya Malaysia wanaijadili ahhh...nimelimute na si muda mrefu na left...

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…