Jokes

Joined
Jun 18, 2017
Posts
7
Reaction score
1
```Uchoyo ukifikia hapa bora kifo```,

*mama mmoja alikuwa anapakua chakula ghafla akackia hodi,akaficha chakula chini ya kochi,*
*mgeni alipoingia akaona moshi unatoka chini ya kochi.*
*Mgeni: Moshi wa nini huo?*
*Mama: Mwenzangu utaiweza mipanya ya humu kwa kuvuta bangi..*

*hahahahahahahahahahahhaha* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

By
*FIT*
 
Du! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] nmemaliza cku yang poa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…