Pre GE2025 Jolam Hongoli: Ubunge siyo kujua kusoma na kuandika pekee

Pre GE2025 Jolam Hongoli: Ubunge siyo kujua kusoma na kuandika pekee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Lupembe mkoani Njombe ambaye kwa sasa ni Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Njombe Jolam Hongoli amewataka Watanzania kuacha kufikiria kuwa ili uweze kuwa Mbunge unapaswa kujua kusoma na kuandika tu kwa kuwa kazi hiyo ya uwakilishi ni kubwa na inahitaji maarifa.

Hongoli ameeleza hayo wakati akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mavanga mara baada ya Jumuiya ya Wazazi kufika shuleni hapo na kupanda miti pamoja na kutoa elimu mbalimbali ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya kuzaliwa kwa CCM
 
Kuna tofauti kubwa kati ya wapuuzi na upuuzi wenyewe
 
Back
Top Bottom