Jomo Kenyatta is the Genesis of foul language in Politics

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
Hebu wachunguzi pitieni hotuba za Jomo Kenyatta Baba wa Taifa la Kenya na uzisikilize utatambua maneno nyang'au, Kumanyoko n.k. yalikuwa kawaida kwake. Kwahiyo msishangae kinachoendelea sasa Uhuru karithi wakati wengine wanaiga viongozi wao.

Kusema kweli sijawahi msikia RAO akitukana. Na kama uchunguzi utafanywa hamna mtu aliyewahi tukanwa Kenya kama Raila mbali na Moses Kuria ni mara nyingi Uhuru amewahi kusikika akisema Kenya haiwezi tawaliwa na wasiotairiwa kiasi ikaonekana tusi la kawaida. Ushahidi upo Youtube. Hata Mama Ngina hutukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…