Jonathan Ikangalombo atambulishwa rasmi Young Africans SC

Jonathan Ikangalombo atambulishwa rasmi Young Africans SC

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Mchezaji aliyekuwa akicheza AS Vita club na timu ya taifa ya Congo DRC kama winga ya kulia, Jonathan Ikangalombo Kapela ametua rasmi kwa wananchi, Young Africans SC.

Soma Pia: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

download (23).jpeg
GhXWjKFWcAAbo4M.jpeg
 
Yanga nilidhani watasajili kiungo mkabaji, kumbe tena wameongeza mshambuliaji.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
JamiiForums-31645776.jpeg


1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
 
Tunataka mwisho wa msimu kocha akae muda mrefu na timu ili kuijenga badala ya kuingiza wageni wengi ktk usajili.
 
Klabu mpaka uinange ndiyo inalipa madeni ya wachezaji wake
 
Back
Top Bottom