Jonathan SOWA ni mtu mtukutu akija yanga hata maliza msimu ataleta hasara

Jonathan SOWA ni mtu mtukutu akija yanga hata maliza msimu ataleta hasara

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Kwa haraka haraka jamaa ni mtu anayependa attention kutoka kwa marefa na hata kutoka kwa mashabiki pindi awapo uwanjani. Akikosa attention huitafuta kwa namna yeyote haijalishi kwa kujirusha ndani ya box au kumkata mtama mchezaji wa timu pinzani ilimradi tu amulikwe na kamera, pia ni mtu asiyejali mafanikio ya timu bali hujali mafanikio yake binafsi . Kwa mpira wa yanga msitegemee assist ni atataka kila goli afunge yeye ilimradi aonekane kwenye kamera na asipopangwa tegemeeni drama mitandaoni au utovu wa nidhamu kambini nawasilisha
 
Ana matatizo ya utovu wa nidhamu, Ni aina ya kizamani ya ma forward wanao cheza kwa kujishindilia na kutegemea ku walalia ma beki ili kupata faul.
Hafai kucheza klabu yoyote Tanzania.
Yanga kama kweli wanataka namba 9 wa mvizie Dube.
 
Tunakumbushana tu mr attention seeker a.k.a Jonathan Sowah
 
Ana matatizo ya utovu wa nidhamu, Ni aina ya kizamani ya ma forward wanao cheza kwa kujishindilia na kutegemea ku walalia ma beki ili kupata faul.
Hafai kucheza klabu yoyote Tanzania.
Yanga kama kweli wanataka namba 9 wa mvizie Dube.
Akili nyingi sana ulitumia mkuu. Kongole
 
Back
Top Bottom