Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu yani ndiyo hivyo basi tuSiwapend wanawake kwenye mambo ya kiume. Basi tuu.
Huyo ndiye kiboko yao; nadhani alishawachezesha tena huenda mara mbili hivi huko siku za nyuma.Mwamuzi wa kati Jonesia Rukya kutoka Kagera, ndiye atakayechezesha mechi ya watani wa jadi Simba vs Yanga itakayopigwa kesho Jumapili Aprili 16 katika dimba la Mkapa.
Wasaidizi wake watakuwa ni Mohamed Mkono na Janeth Balama.
View attachment 2588980
⚽️🥅Mwamuzi wa kati Jonesia Rukya kutoka Kagera, ndiye atakayechezesha mechi ya watani wa jadi Simba vs Yanga itakayopigwa kesho Jumapili Aprili 16 katika dimba la Mkapa.
Wasaidizi wake watakuwa ni Mohamed Mkono na Janeth Balama.
View attachment 2588980