Jongoo akisagwa ni Sumu Inayoua

Dee1044

New Member
Joined
Jul 3, 2019
Posts
2
Reaction score
1
Habarini wanaJamii Forum. Nimesikia baadhi ya watu wakisema kwamba jongoo anapokufa halafu akakauka, akisagwa na kuwa unga unga, ule unga watu huutumia kama sumu inayoua taratibu, hata miezi mitatu.

Nimepinga hoja hii ila wanaoamini hivyo hawaelewi. Kama inawezekana kuwahusisha wanasayansi kuweza kupata ukweli kwenye hili itanufaisha wengi ili kuondoa imani potofu. Ahsanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…