NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Shalom! Shaom! Baada ya salaam niende moja kwa moja kwenye pointi Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza .
Natuma ujumbe huu kwa viongozi wa yanga walitizame hili na walifanyie kazi haraka iwezekanavyo.
Ndiyoooo vijana wetu wanapiga kazi kubwa sana nakujituma ndani ya timu mpaka kazi inaonekana
Hakuna asiyejua kazi ya beki mwenye akili jobu aka the big brain defender Kama tulivyombatiza mashabiki.
Hakika jobu ni kisiki haswaaa ni muda wa yanga kumuongeza bonus na mshahara huyu mwamba kwani nitasikitika sana ikiwa wachezaji wakigeni wakilipwa vizuri lakini jobu na kibwana wakipewa mshahara kichele.
Kibwana shomari ni kiraka anayecheza mbavu ya kushoto nakulia na kitasa mbishi hakuna mwanayanga asiyejua umuhimu wa kibwana shomari.
Nikiwa Kama shabiki wa yanga ninayeipenda yanga na ni mwanachama hai wa yanga,
Yanga boresheni mishahara ya hawa wazawa hakika kazi zao tunaziona zinatufurahisha kweli kweli.
Ndiyoooo Kama analipwa vizuri morison kwa Nini msiboreshe mishahara ya wazawa ili isije kutokea ya feisal maana kilichotokea kwa feisal ni funzo tosha.
Natuma ujumbe huu kwa viongozi wa yanga walitizame hili na walifanyie kazi haraka iwezekanavyo.
Ndiyoooo vijana wetu wanapiga kazi kubwa sana nakujituma ndani ya timu mpaka kazi inaonekana
Hakuna asiyejua kazi ya beki mwenye akili jobu aka the big brain defender Kama tulivyombatiza mashabiki.
Hakika jobu ni kisiki haswaaa ni muda wa yanga kumuongeza bonus na mshahara huyu mwamba kwani nitasikitika sana ikiwa wachezaji wakigeni wakilipwa vizuri lakini jobu na kibwana wakipewa mshahara kichele.
Kibwana shomari ni kiraka anayecheza mbavu ya kushoto nakulia na kitasa mbishi hakuna mwanayanga asiyejua umuhimu wa kibwana shomari.
Nikiwa Kama shabiki wa yanga ninayeipenda yanga na ni mwanachama hai wa yanga,
Yanga boresheni mishahara ya hawa wazawa hakika kazi zao tunaziona zinatufurahisha kweli kweli.
Ndiyoooo Kama analipwa vizuri morison kwa Nini msiboreshe mishahara ya wazawa ili isije kutokea ya feisal maana kilichotokea kwa feisal ni funzo tosha.