yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,409
Napenda kuwapa pongezi watangazaji wa michezo wa clouds katika kwa jinsi mnavofanya kaziyenu ya uandishi kwa masrahi na maendeleo ya timu yetu ya simba sc.nawataja kama iftavyo:
ibrahim masoud (shabk na mwanachama wa simba)
shaffi dauda (shabiki na mwanachama wa simba,yeye ndo alimleta emanuel okwi)
ibrahim maestro( mwanachama na kiongozi wa simba)
geofray leah (shabiki wa kutupwa wa simba )
ibrahim masoud (mwanachama wa simba)
alex lwambano (shabk wa kutupwa simba)
Ibrahim masoud (simba damu)
ibrahim mohamed( shabiki wa yanga,nawaomba mmuondoe hapo kwenye jopo lenu)
****nafurahi sana mnavodili na simba badla ya kazi yenu ya uhandishi, mkaona haitoshi mkaamua kuunda wazo la kuanzisha kipindi kinachoihusu simba na mkalipeleka wazo hilo kwa viongozi wa simba na hatimaye mkaanzisha simba tv (kwa mujibu wa rage) napenda sana jinsi mnavo abuse taaruma yenu.
*****kazikubwa mlonnifurahisha zaid ni pale mlivokua mnashadadia swala la vurugu za yanga utafkr nyie ndo tff,mlikuwa mnatumia vyombo vyenu kupiga kampeni za kufungiwa wachezaji wa yaga wengi kadri iwezekanavo,ili hata kama kuna ambaye hajafanya vurugu nae afungiwe,ili timuyetu ya simba ipatte ubingwa kiulainiiiiiii yasitukee kama ya msimu ulopita.
*****nilkua nawafatilia tangu siku ya tukio la vurugu za yanga jmosi saa3 usiku,watngazji wakiwa ibrahm masoud na geofray leah,walionekana dhahr kua na kapeni fulani na yanga mlikua mnatoa conclusions nakuwasemea wachezaji na refa utafkir mlikua myoyoni mwao.research yangu ilikamilika kwenye sports bar j3.jinsi shaffi alivokua anapigana na picha zao za video,huku akiongea kwa jazba pale alipokua akiulizwa maswali magumu namtanagzaji mwenzie kuhsu kinachoonekana kwenye video.
***tff wameskia kilochenu ndo mana nyie ndo wa1kupewa taarifa za kufungiwa wachezeji tna usiku,utafkiri hakuna vituo vngine vya habar.ni wazi alotakiwa kfungiwa ni mwasika nawengine hawkustahili adhub kabsaa,lakin kwa juhudi zetu wanasimba tumefanikiwa kuwafungia.bila shaka mmeamua kufanya simba THT yenu.
ibrahim masoud (shabk na mwanachama wa simba)
shaffi dauda (shabiki na mwanachama wa simba,yeye ndo alimleta emanuel okwi)
ibrahim maestro( mwanachama na kiongozi wa simba)
geofray leah (shabiki wa kutupwa wa simba )
ibrahim masoud (mwanachama wa simba)
alex lwambano (shabk wa kutupwa simba)
Ibrahim masoud (simba damu)
ibrahim mohamed( shabiki wa yanga,nawaomba mmuondoe hapo kwenye jopo lenu)
****nafurahi sana mnavodili na simba badla ya kazi yenu ya uhandishi, mkaona haitoshi mkaamua kuunda wazo la kuanzisha kipindi kinachoihusu simba na mkalipeleka wazo hilo kwa viongozi wa simba na hatimaye mkaanzisha simba tv (kwa mujibu wa rage) napenda sana jinsi mnavo abuse taaruma yenu.
*****kazikubwa mlonnifurahisha zaid ni pale mlivokua mnashadadia swala la vurugu za yanga utafkr nyie ndo tff,mlikuwa mnatumia vyombo vyenu kupiga kampeni za kufungiwa wachezaji wa yaga wengi kadri iwezekanavo,ili hata kama kuna ambaye hajafanya vurugu nae afungiwe,ili timuyetu ya simba ipatte ubingwa kiulainiiiiiii yasitukee kama ya msimu ulopita.
*****nilkua nawafatilia tangu siku ya tukio la vurugu za yanga jmosi saa3 usiku,watngazji wakiwa ibrahm masoud na geofray leah,walionekana dhahr kua na kapeni fulani na yanga mlikua mnatoa conclusions nakuwasemea wachezaji na refa utafkir mlikua myoyoni mwao.research yangu ilikamilika kwenye sports bar j3.jinsi shaffi alivokua anapigana na picha zao za video,huku akiongea kwa jazba pale alipokua akiulizwa maswali magumu namtanagzaji mwenzie kuhsu kinachoonekana kwenye video.
***tff wameskia kilochenu ndo mana nyie ndo wa1kupewa taarifa za kufungiwa wachezeji tna usiku,utafkiri hakuna vituo vngine vya habar.ni wazi alotakiwa kfungiwa ni mwasika nawengine hawkustahili adhub kabsaa,lakin kwa juhudi zetu wanasimba tumefanikiwa kuwafungia.bila shaka mmeamua kufanya simba THT yenu.