jopo la michezo clouds,hongereni kwa kazi ngumumlofanya!

jopo la michezo clouds,hongereni kwa kazi ngumumlofanya!

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Napenda kuwapa pongezi watangazaji wa michezo wa clouds katika kwa jinsi mnavofanya kaziyenu ya uandishi kwa masrahi na maendeleo ya timu yetu ya simba sc.nawataja kama iftavyo:
ibrahim masoud (shabk na mwanachama wa simba)
shaffi dauda (shabiki na mwanachama wa simba,yeye ndo alimleta emanuel okwi)
ibrahim maestro( mwanachama na kiongozi wa simba)
geofray leah (shabiki wa kutupwa wa simba )
ibrahim masoud (mwanachama wa simba)
alex lwambano (shabk wa kutupwa simba)
Ibrahim masoud (simba damu)
ibrahim mohamed( shabiki wa yanga,nawaomba mmuondoe hapo kwenye jopo lenu)
****nafurahi sana mnavodili na simba badla ya kazi yenu ya uhandishi, mkaona haitoshi mkaamua kuunda wazo la kuanzisha kipindi kinachoihusu simba na mkalipeleka wazo hilo kwa viongozi wa simba na hatimaye mkaanzisha simba tv (kwa mujibu wa rage) napenda sana jinsi mnavo abuse taaruma yenu.
*****kazikubwa mlonnifurahisha zaid ni pale mlivokua mnashadadia swala la vurugu za yanga utafkr nyie ndo tff,mlikuwa mnatumia vyombo vyenu kupiga kampeni za kufungiwa wachezaji wa yaga wengi kadri iwezekanavo,ili hata kama kuna ambaye hajafanya vurugu nae afungiwe,ili timuyetu ya simba ipatte ubingwa kiulainiiiiiii yasitukee kama ya msimu ulopita.
*****nilkua nawafatilia tangu siku ya tukio la vurugu za yanga jmosi saa3 usiku,watngazji wakiwa ibrahm masoud na geofray leah,walionekana dhahr kua na kapeni fulani na yanga mlikua mnatoa conclusions nakuwasemea wachezaji na refa utafkir mlikua myoyoni mwao.research yangu ilikamilika kwenye sports bar j3.jinsi shaffi alivokua anapigana na picha zao za video,huku akiongea kwa jazba pale alipokua akiulizwa maswali magumu namtanagzaji mwenzie kuhsu kinachoonekana kwenye video.
***tff wameskia kilochenu ndo mana nyie ndo wa1kupewa taarifa za kufungiwa wachezeji tna usiku,utafkiri hakuna vituo vngine vya habar.ni wazi alotakiwa kfungiwa ni mwasika nawengine hawkustahili adhub kabsaa,lakin kwa juhudi zetu wanasimba tumefanikiwa kuwafungia.bila shaka mmeamua kufanya simba THT yenu.
 
Wewue Huna hoja kama ckosei utakuwa mwanaCCM kwani mimi naouna unachangia ***** mtupu...nanai ambaye hakuona upuuzi waloufanya wachezaji wa YANGA na hii imedhihilisha tatizo la kukulia mtaani na kucheza ligi ya ndondo kabla ya kupanda ligi kuu ndo tabia za wachezaji wa yanga na shukuruni TFF wamejaa Yanga Kuanzia Rais wa TFF hata Rais Wa Nchi lasivyo adhabu sahii ilikuwa ni Kufungiwa kucheza maisha MWASIKA ikiwa ni pamoja na kumfungulia kesi ya kupigana kwani hili haliitaji wakili anapaswa kushatakiwa automatic na Jamhuri na kuwa ushahidi wa CAmera za ITV anafungwa moja kwa moja bila kuarisha ksesi, arafu wacheji wa yanga walomfuata mwamuzi tofauti na Captain wote wangepigwa miezi sita, arafu clabu kwa kuonyesha dharua badala ya kuomba msamaha kama alivyoonyesha prof.wao yule mnyarwanda wakaishia kuilaumu TFF ilo ni kosa la kukatwa Mil.100.
 
Wewue Huna hoja kama ckosei utakuwa mwanaCCM kwani mimi naouna unachangia ***** mtupu...nanai ambaye hakuona upuuzi waloufanya wachezaji wa YANGA na hii imedhihilisha tatizo la kukulia mtaani na kucheza ligi ya ndondo kabla ya kupanda ligi kuu ndo tabia za wachezaji wa yanga na shukuruni TFF wamejaa Yanga Kuanzia Rais wa TFF hata Rais Wa Nchi lasivyo adhabu sahii ilikuwa ni Kufungiwa kucheza maisha MWASIKA ikiwa ni pamoja na kumfungulia kesi ya kupigana kwani hili haliitaji wakili anapaswa kushatakiwa automatic na Jamhuri na kuwa ushahidi wa CAmera za ITV anafungwa moja kwa moja bila kuarisha ksesi, arafu wacheji wa yanga walomfuata mwamuzi tofauti na Captain wote wangepigwa miezi sita, arafu clabu kwa kuonyesha dharua badala ya kuomba msamaha kama alivyoonyesha prof.wao yule mnyarwanda wakaishia kuilaumu TFF ilo ni kosa la kukatwa Mil.100.

mbona unajazba sana,ngoja nitoke nje ya mada. nakubaliana na azabu ya mwaska but kuna uhalli gani tegete kufungiwa miezi6 kwa kuingia uwanjani tu kuwatuliza wenzie.na je mbona refa alitoka nje ya uwanja kabla mechi haijaisha kitu ambacho ni kinyume na sheria na hakuadhibiwa? Na kwanini hakumpa red card yule polisi aliyeingia uwanjani kinyume na shoria.
 
Napenda kuwapa pongezi watangazaji wa michezo wa clouds katika kwa jinsi mnavofanya kaziyenu ya uandishi kwa masrahi na maendeleo ya timu yetu ya simba sc.nawataja kama iftavyo:
ibrahim masoud (shabk na mwanachama wa simba)
shaffi dauda (shabiki na mwanachama wa simba,yeye ndo alimleta emanuel okwi)
ibrahim maestro( mwanachama na kiongozi wa simba)
geofray leah (shabiki wa kutupwa wa simba )
ibrahim masoud (mwanachama wa simba)
alex lwambano (shabk wa kutupwa simba)
Ibrahim mohamed (simba damu)
ibrahim mohamed( shabiki wa yanga,nawaomba mmuondoe hapo kwenye jopo lenu)
****nafurahi sana mnavodili na simba badla ya kazi yenu ya uhandishi, mkaona haitoshi mkaamua kuunda wazo la kuanzisha kipindi kinachoihusu simba na mkalipeleka wazo hilo kwa viongozi wa simba na hatimaye mkaanzisha simba tv (kwa mujibu wa rage) napenda sana jinsi mnavo abuse taaruma yenu.
*****kazikubwa mlonnifurahisha zaid ni pale mlivokua mnashadadia swala la vurugu za yanga utafkr nyie ndo tff,mlikuwa mnatumia vyombo vyenu kupiga kampeni za kufungiwa wachezaji wa yaga wengi kadri iwezekanavo,ili hata kama kuna ambaye hajafanya vurugu nae afungiwe,ili timuyetu ya simba ipatte ubingwa kiulainiiiiiii yasitukee kama ya msimu ulopita.
*****nilkua nawafatilia tangu siku ya tukio la vurugu za yanga jmosi saa3 usiku,watngazji wakiwa ibrahm mohamed na geofray leah,walionekana dhahr kua na kapeni fulani na yanga mlikua mnatoa conclusions nakuwasemea wachezaji na refa utafkir mlikua myoyoni mwao.research yangu ilikamilika kwenye sports bar j3.jinsi shaffi alivokua anapigana na picha zao za video,huku akiongea kwa jazba pale alipokua akiulizwa maswali magumu namtanagzaji mwenzie kuhsu kinachoonekana kwenye video.
***tff wameskia kilochenu ndo mana nyie ndo wa1kupewa taarifa za kufungiwa wachezeji tna usiku,utafkiri hakuna vituo vngine vya habar.ni wazi alotakiwa kfungiwa ni mwasika nawengine hawkustahili adhub kabsaa,lakin kwa juhdi zetu wanasimba tumefanikiwa kuwafungia.bila shaka mmeamua kifanya simba THT yenu lkini mjiagalieisijekua mr2


nimekuelewa sana ndugu yangu,hawa watangazaji wanapenda kuonyesha interest zao,halafu wote wanapenda simba+wanachama wa simba wanadanganya wananchi kuna simba tv wakati ni kipind kipo cloudz tv shame on them
 
Napenda kuwapa pongezi watangazaji wa michezo wa clouds katika kwa jinsi mnavofanya kaziyenu ya uandishi kwa masrahi na maendeleo ya timu yetu ya simba sc.nawataja kama iftavyo:
ibrahim masoud (shabk na mwanachama wa simba)
shaffi dauda (shabiki na mwanachama wa simba,yeye ndo alimleta emanuel okwi)
ibrahim maestro( mwanachama na kiongozi wa simba)
geofray leah (shabiki wa kutupwa wa simba )
ibrahim masoud (mwanachama wa simba)
alex lwambano (shabk wa kutupwa simba)
Ibrahim mohamed (simba damu)
ibrahim mohamed( shabiki wa yanga,nawaomba mmuondoe hapo kwenye jopo lenu)
****nafurahi sana mnavodili na simba badla ya kazi yenu ya uhandishi, mkaona haitoshi mkaamua kuunda wazo la kuanzisha kipindi kinachoihusu simba na mkalipeleka wazo hilo kwa viongozi wa simba na hatimaye mkaanzisha simba tv (kwa mujibu wa rage) napenda sana jinsi mnavo abuse taaruma yenu.
*****kazikubwa mlonnifurahisha zaid ni pale mlivokua mnashadadia swala la vurugu za yanga utafkr nyie ndo tff,mlikuwa mnatumia vyombo vyenu kupiga kampeni za kufungiwa wachezaji wa yaga wengi kadri iwezekanavo,ili hata kama kuna ambaye hajafanya vurugu nae afungiwe,ili timuyetu ya simba ipatte ubingwa kiulainiiiiiii yasitukee kama ya msimu ulopita.
*****nilkua nawafatilia tangu siku ya tukio la vurugu za yanga jmosi saa3 usiku,watngazji wakiwa ibrahm mohamed na geofray leah,walionekana dhahr kua na kapeni fulani na yanga mlikua mnatoa conclusions nakuwasemea wachezaji na refa utafkir mlikua myoyoni mwao.research yangu ilikamilika kwenye sports bar j3.jinsi shaffi alivokua anapigana na picha zao za video,huku akiongea kwa jazba pale alipokua akiulizwa maswali magumu namtanagzaji mwenzie kuhsu kinachoonekana kwenye video.
***tff wameskia kilochenu ndo mana nyie ndo wa1kupewa taarifa za kufungiwa wachezeji tna usiku,utafkiri hakuna vituo vngine vya habar.ni wazi alotakiwa kfungiwa ni mwasika nawengine hawkustahili adhub kabsaa,lakin kwa juhdi zetu wanasimba tumefanikiwa kuwafungia.bila shaka mmeamua kifanya simba THT yenu lkini mjiagalieisijekua mr2

Kwa kifupi hujaeleweka kabisaaaaaaaaaa!
 
Wito kwa wanajangwani wote kuisusia redio yao na tv hasa huyo puga maestro na dauda wana card za simba na azam juzi tu tumewapa prime time udhamini wa mechi ya zamalek leo mnaona mabwabwa wanavyoshadidia wachezaji wetu wafungiwe
 
kama wewe ni great thinker hauhitaji mwalimu wa kkufundisha na nakukuelekeza kwamba lile jopo ni tawi la Simba.na kama ulifatilia matangazo yao tangu siku ya tukio la mechi ya Azam utagundua kitu! na inaelekea wameamua Simba iwe THT yao!
 
Back
Top Bottom