M Mwafrika JF-Expert Member Joined Nov 20, 2006 Posts 5,490 Reaction score 229 Oct 13, 2009 #41 Mwafrika said: Lowasa, Chenge, Kikwete, Kingunge, Makamba, Rostam Azizi nk Click to expand... na na na na yule jamaa anaitwa Mwakalinga anayetaka kugombea Kyela. just wanted to say that (sikonge upo?)
Mwafrika said: Lowasa, Chenge, Kikwete, Kingunge, Makamba, Rostam Azizi nk Click to expand... na na na na yule jamaa anaitwa Mwakalinga anayetaka kugombea Kyela. just wanted to say that (sikonge upo?)
Josh Michael JF-Expert Member Joined Jun 12, 2009 Posts 2,523 Reaction score 87 Oct 13, 2009 Thread starter #42 Kuna kila aina ya vitimbi katika uchaguzi ujao wa uchaguzi mwakani
Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,904 Reaction score 1,064 Oct 13, 2009 #43 Wacha waende na watarudi wamenyong'onyea kama kawaida. Karatu si Pwani kwao na Kibunango ambako wanatoa kura kwa kipande cha khanga. Huko wamechemsha. Na wakijaribu anzisha vurugu, kisago kiko nyuma yao.
Wacha waende na watarudi wamenyong'onyea kama kawaida. Karatu si Pwani kwao na Kibunango ambako wanatoa kura kwa kipande cha khanga. Huko wamechemsha. Na wakijaribu anzisha vurugu, kisago kiko nyuma yao.