Jordan wajisifu kudondosha misaada Gaza.Je, wanastahiki kusifiwa?

Jordan wajisifu kudondosha misaada Gaza.Je, wanastahiki kusifiwa?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mfalme Abdallah wa Jordan hapo jana alitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo bila hofu lilidondosha misaada muhimu kwenye kituo chake kilichopo Gaza katikati ya vita vinavyoendelea.
“Our fearless air force personnel air-dropped at midnight urgent medical aid to the Jordanian field hospital in Gaza,” he said on X, formerly known as Twitter.

“This is our duty to aid our brothers and sisters injured in the war on Gaza. “We will always be there for our Palestinian brethren.
King Abdalla
Katika tangazo lake hilo hakusema kwamba waliomba ruhusa kutoka jeshi la Israel ili kufanikisha zoezi hilo.

Na jee msaada huo utawatosheleza hao waliojificha kwenye hospitali yake na jee utawakinga na mashambulizi ya Israel ambayo yameshapiga karibu hospitali zote na kambi za wakimbizi

Jee huo ndio uwezo wa mwisho walionao Jordan kwa ndugu zao wa Palestina

Na kwanini kama ana huruma na maafa ya ndugu zao asianze na ukingo wa magharibi ambako ni upande wa pili tu wa mpaka wake na ambako mashambulizi ya Israel yanaendelea na vifo vimeripotiwa kwa makundi yote ya Hamas na PLO.
1699423266461.png
 
Mfalme Abdallah wa Jordan hapo jana alitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo bila hofu lilidondosha misaada muhimu kwenye kituo chake kilichopo Gaza katikati ya vita vinavyoendelea.
“Our fearless air force personnel air-dropped at midnight urgent medical aid to the Jordanian field hospital in Gaza,” he said on X, formerly known as Twitter.

“This is our duty to aid our brothers and sisters injured in the war on Gaza. “We will always be there for our Palestinian brethren.
King Abdalla
Katika tangazo lake hilo hakusema kwamba waliomba ruhusa kutoka jeshi la Israel ili kufanikisha zoezi hilo.

Na jee msaada huo utawatosheleza hao waliojificha kwenye hospitali yake na jee utawakinga na mashambulizi ya Israel ambayo yameshapiga karibu hospitali zote na kambi za wakimbizi

Jee huo ndio uwezo wa mwisho walionao Jordan kwa ndugu zao wa Palestina

Na kwanini kama ana huruma na maafa ya ndugu zao asianze na ukingo wa magharibi ambako ni upande wa pili tu wa mpaka wake na ambako mashambulizi ya Israel yanaendelea na vifo vimeripotiwa kwa makundi yote ya Hamas na PLO.
View attachment 2807544
Unafiki wa waarabu ni mwingi kuzidi wa CCM, hawezi kufanya hilo bila kuomba ruhsa israel, haiwezekani 100% muongo mkubwa huyu, aanga ya Gaza yote inalindwa na Isreal.
 
Walishirikisha jeshi la Israel na wakapata ruhusa.
Tena waliongozwa na Jeshi la israel sehemu za kudondosho misaada.
KUmbukeni hizi nchi wana mikataba yao
Anataka kuwazuga walimwengu na waislamu.Kama kwamba hajulikani ukibaraka wake.
Katika majirani wanaoizunguka Palestina na Israel Jordan na Misri ndio tatizo na ndio sababu ya madhila ya wapalestina.Siku wakiondoshwa basi Palestina itarudi haraka.
 
Waarabu ni watu wa hovyo sana, nashangaa huku Namabengo tunaandamana kuhusu Palestine huku wenzao waliopakana nao wanakenua kenua tuu meno kama Manara, hopeless kabisa.
 
Waarabu ni watu wa hovyo sana, nashangaa huku Namabengo tunaandamana kuhusu Palestine huku wenzao waliopakana nao wanakenua kenua tuu meno kama Manara, hopeless kabisa.
Watapokea kipigo chao siku za mbele na watalia kama wapalestina.
 
Back
Top Bottom