BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kwa kuongoza kiungo cha Klabu yake ya Chelsea kushinda kombe ya ligi ya Mabingwa ya Ulaya na kwa kujenga kiungo Imara cha timu ya Taifa ya Italia na kuiwezesha kushinda kombe la Fainali za Euro 2020, Jorge Luiz Frello Filho almaarufu Jorginho ambaye huko Italia anajulikana kama "Regista"(DIRECTOR kwa kiingereza) anastahili kushinda hii tuzo na kuwa Mcheza bora wa dunia kwa mwaka huu wa 2021.
Nini maoni yako mwanabodi.
Hichi kichaka walicho chagua kinachekesha maana hakina hata hoja za mashiko..ngj wakae hapo kwa mda wakisbr Messi kubeba ya 7Chawa wa Penaldo mmeshapata kichaka cha kujifichia
Mm nilimewaambia tangu kwenye ile Thread ya Euro kua wajipe moyo tu lkn when time comes Messi anabeba ya 7 na there is nothn they can do abt it.Hajaonesha kiwango cha maana cha kumuwezesha kushinda hiyo tuzo. Ana bahati tu ya kushinda mataji hayo mawili makubwa, basi.
Hapo Italia kwa mfano, kuna aliyeongoza kujenga kiungo imara kumshinda Verratti wa PSG?
Kulingana na ripoti mbalimbali, Messi ndiye anayeongoza kinyang'anyiro, akifuatiwa na Harry Kane, Kante na wengineo. Isitoshe, hii ni kabla ya Messi kuchukuwa Copa America na Argentina saa kadhaa zilizopita.
Mm niliwaambia jana kua leteni Stats acheni mambo ya porojo za vijiweni anayesema anastaili aje na numbers zake kuback up claim na mm Nije na numbers kuonesha ni namna gn#The[emoji238][emoji1033] anastaili ni ivo tu.Namba zake zinasoma vipi, au alikuwa beki?
Bora ww umeanza wapa na mifano hai.Angeanza kwanza kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Euro (Golden Ball). Hajachukua sababu hajastahili. Huko unakotaka apafikie bado ni parefu sana!
Kiungo mwenzake [Modric] alichukuwa UEFA CL, pia alichukuwa tuzo ya mchezaji bora wa Kombe la Dunia mwaka 2018 ndipo akashinda Ballon d'Or iliyofuata.
[emoji23]mm nacheka tu naangalia wanavojioa matumaini hewa.Messi anachukua ya 7 asubuhi mapemaa, idadi ya ballon na namba 7 ya Jersey inayovaliwa na jamaa yako CR7 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakija na majibu mkuu..naomba uniTag.Mbali na mafanikio ya Klabu na timu ya Taifa,yeye kafanya nini??
Alifunga?
Alitoa assist?
Alifanya nini cha maana?
[emoji23]mm nacheka tu naangalia wanavojioa matumaini hewa.
KANTE 100%.Mchezaji bora wa Ulaya, Ni Jorginho.
Wait and see mzee, Ntaupandisha huu uzi
Ulaya ipi tena?Mchezaji bora wa Ulaya, Ni Jorginho.
Wait and see mzee, Ntaupandisha huu uzi