Jorginho ni sigara ya ziada ya Sarri

Patrick03

Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
32
Reaction score
53
Ni kweli sababu SARRI alimkuta jorginho benchi pale Napoli akamboresha akawa bora
Na ameamua kwenda naye Chelsea kwa kuwa anajua falsafa zake
 
Tatizo ya watu mnaoangalia big match tu.

Siku ukija kumfahamu Richarlison nahisi hadi utakapoona game ya chelsea yako na everton.

Sijaanzia kumuona Chelsea Jorginho kama weye. Nimeanza tokea Hallas Verona sasa sijui nani anaangalia Big match tu. Jamaa ni habari nyengine kabisa katika football ya sasa.
 
Sijaanzia kumuona Chelsea Jorginho kama weye. Nimeanza tokea Hallas Verona sasa sijui nani anaangalia Big match tu. Jamaa ni habari nyengine kabisa katika football ya sasa.
Nimekushangaa sana ulivyomu-underrate Richarlison mkuu
 
Nimekushangaa sana ulivyomu-underrate Richarlison mkuu

PL fansmna matatizo sana, hivo vichezaji vya kuungaunga mnavipa vyeo kwa matekemateke wanayorush. Habu tuliza kichwa utizame La Liga na Seria A uone wachezaji wa kweli.
 
Sijaanzia kumuona Chelsea Jorginho kama weye. Nimeanza tokea Hallas Verona sasa sijui nani anaangalia Big match tu. Jamaa ni habari nyengine kabisa katika football ya sasa.
Msimu uliopita kaongoza pasi ligi zte tano ulaya na mpaka sasa anaongoza pasa ligi 5 ulaya kwa msimu huu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…