Jose Chameleon is among top 10 Richest African Musicians

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Jose (or Joe) Chameleone is a Ugandan artist who found his niche blending traditional Ugandan folk music, a bit of rumba and a heavy reggae influence. He sings in English, Swahili, and Luganda. His mansion outside of Kampala and four cars (including a Cadillac Escalade and a Benz) are evidence of his success, particularly with his hit, “Valu Valu.” He’s been credited with changing the face of music in Uganda, as well as making local music accessible to the rest of the world. -

See more at: Top 10 Richest African Musicians | Page 2 of 11 | AFKInsider
 
Ni msanii maarufu zaidi afrika mashariki lakini si tajiri kuliko wote coz in UG tu anayeongoza kwa utajiri wa jumla na muda wote kwa wasanii ni bobi wine aka ghetto president from makindye,labda iwe ni msanii aliyeingiza mapato mengi kwa mwaka husika.
 
Believer soma source hapo chini inasemaje?Manake wametajwa wasanii wengi toka Afrika na nafasi zao za utajiri akiwemo Jose,hao unaowataja hawapo!
 

jose ni tajiri zaidi kuliko bobi ilo na ushahidi wote niliwai kuwa nao karibu kwenye kazi za kuandaa show na nawajua vizuri. jose ana asset nyingi sana pia anaongoza kupiga show nyingi
bobi ni maharufu sana kwa ug tu. jose ni maharufu africa nzima na nchi za ng'ambo pia.
 
[h=2]Top 10 Richest African Musicians[/h]Rank ipo kama ifuatavyo;

1.Youssor N'dour-Senegal
2.P.Square(Paul&Peter)-Nigeria
3.D'Banj-Nigeria
4.Koffi Olomide-DRC
5.Salif Keita-Mali
6.Fally Ipupa-DRC
7.2 Face Idibia-Nigeria
8.Hugh Masekela-South Africa
9.Banky W-Nigeria
10.Jose Chameleon-Uganda

Source:Top 10 Richest African Musicians | AFKInsider
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…