Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea

Chelsea is there to stay whether in presence or absence of Jose. Coaches are hired to be fired. Long live Chelsea
 
OFFICIAL: Jose Mourinho sacked by Chelsea Football Club.

 
Coaches are hired to be fired. He is not the first nor would be the last. Chelsea will stay whether in his presence or absence.
 

Kweli kabisa yaani watu hata uwafanyie jambo gani zuri hawaridhiki, hata ingeshuka daraja wangemuacha tu. Abromovic na Perezi nawachukia sana sio wavumilivu hata kidogo. Mtu msimu mmoja anakupa kombea alafu ukisuasua msimu unaofuatia unafukuzwa ina maana timu nyingine hazitaki ubingwa? Huu ni upuuzi.
 
mkuu ucl amechukua mara 3 porto, inter, real
 
Duh! Anaondoka na 40mil pounds za fidia! Dah!
Ila Roman kweli hataki mchezo! Yee ukiboronga, lazima akupe teke kwenye kalio!

Mkuu,kipindi hiki tajiri Roman kawa mjanja. Analipwa hela inayobaki kumalizia mwaka au msimu wa ligi.
 
40 milion pound
halafu Real Madrid wanamtaka...life is unfair

This time around Roman alikuwa makini sana. Atalipwa the rest of his salary kwa msimu huu tu. Then some other benefits. Sidhani kama itafika Pound million 15. All the same si haba!
 

Kwaio msimu umeshaisha?
 
This time around Roman alikuwa makini sana. Atalipwa the rest of his salary kwa msimu huu tu. Then some other benefits. Sidhani kama itafika Pound million 15. All the same si haba!

Na akienda Madrid aka perform itakuwa verry funny
 

Ni kipengele cha mkataba kinasema alipwe ivo....sio zawadi
 
Chelsea wapuuzi sana tatizo siyo kocha kabisa.....
 
Na akienda Madrid aka perform itakuwa verry funny

Mourinho inaelekea ana upungufu kwenye man management. Awamu ya kwanza pale Real Madrid hilo lilianza kujitokeza. Asiporekebisha hilo, hata aende wapi atakuwa kocha / manager wa short term. Maximum miaka mitatu.
 

indeed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…