KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
José Mourinho: "Nataka kusafisha mpira wa miguu wa Uturuki, nataka kuvunja utawala wa Galatasaray, lakini huu ni utawala wa mfumo. Na hii ndio inafanya kazi kuwa ngumu. Kwa hiyo, nafanya kazi kwa bidii na Fenerbahçe ili kuvunja mfumo huu wa utawala.
Siku moja nilifungiwa mechi 4, picha za mkuu wa bodi ya nidhamu ziliibuka zikimuonyesha anashangilia akiwa amevaa jezi ya Galatasaray. Hii ndio njia pekee yakuelewa zaidi tukio hili."
●José Mourinho juu ya madai ya ubaguzi ya Galatasaray: "walikuwa hawana busara kunishambulia mimi kwa sababu hawajui utangulizi wangu, uhusiano wangu na Africa, watu wa Africa, wachezaji wa Africa, misaada ya Africa. Kwa hiyo, baada ya hili kuwa dhidi yangu, nadhani limewarudia wenyewe Galatasaray."
Via: Sky Sports
Siku moja nilifungiwa mechi 4, picha za mkuu wa bodi ya nidhamu ziliibuka zikimuonyesha anashangilia akiwa amevaa jezi ya Galatasaray. Hii ndio njia pekee yakuelewa zaidi tukio hili."
●José Mourinho juu ya madai ya ubaguzi ya Galatasaray: "walikuwa hawana busara kunishambulia mimi kwa sababu hawajui utangulizi wangu, uhusiano wangu na Africa, watu wa Africa, wachezaji wa Africa, misaada ya Africa. Kwa hiyo, baada ya hili kuwa dhidi yangu, nadhani limewarudia wenyewe Galatasaray."
Via: Sky Sports