Jose Mourinho: Mkufunzi wa Manchester United anaonekana kupitwa na wakati - Chris Sutton

Propaganda ya vyombo vya habari vya England, wanamchukia sana Mourinho.
Japokua Kweli Mourinho mda mwingine anakera hila vyombo vya habari vya England vinaongoza kwa kumsimanga Mourinho.

Bila kufanya hivyo hawawezi kuuza hard copy au kupata "traffic" kwenye magazeti yao ya online.
 
Maana yako nini? Kwahiyo nawe unaona ni kosa hapo paliposahihishwa ili ieleweke kirahisi kwa wote?
Sijakuelewa bado umesimamia wapi?


Wapi nimesema ni kosa? You did right ndio maan nikasema inategemea na alivyokosolewa. Hebu fikiri ungemwita kilaza ange respond namna gani.
 
Wapi nimesema ni kosa? You did right ndio maan nikasema inategemea na alivyokosolewa. Hebu fikiri ungemwita kilaza ange respond namna gani.
Hakuna sehemu niliyokwambia kua umefanya kosa bali nimekuuliza tu,hukuiona question mark? Anyway umeeleweka.
 
Dunia inamengi sana as long as kila mtu anaweza sema chochote kwahyo sawa Tu
 
safi sana kwa kuleta challenge....hata kama mo akipondwa bado ni kocha mzuri huwezi mfananisha na kocha ambaye timu yake ni ya ishirini
 
Mourinho ni mjinga tu
 
Mimi sipendi sana mpira ila nashindwa kuelewa
How time ya pili kwenye msimamo wa ligi iwe na kocha mbaya?

That's mean timu za kumi kushuka chini zina walimu wazuri au
Angalia Pesa aliyotumia kusajili, point alizoachwa na anayeongoza, makombe na timu zilizomtoa mwisho tofauti ya point na mshindi wa tatu kwenye ligi.
 
Angalia Pesa aliyotumia kusajili, point alizoachwa na anayeongoza, makombe na timu zilizomtoa mwisho tofauti ya point na mshindi wa tatu kwenye ligi.

Okay, sasa kati ya man City na man united nani ameweka pesa nyingi zaidi kwenye usajili
 
Unatumia Paundi milioni 300 na ushee kusajili halafu unapaki bus!? Ni upuuzi.

Wadau wa Man U wana haki ya kulalamika.

Kama akitaka kutumia mfumo huo, asisajili wachezaji wa gharama. Hawa wa kawaida wanaweza ku fit tu.

Kwa mfumo huu wa MOU, NAMUONA SANCHEZ akiwa kama DI MARIA kipindi cha "wing back" za VAN GAAL..!

Pundi milioni 50 zilipotea tu sababu ya mfumo wa mtu mmoja. Pathetic!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…