jose mourino asema zamu hii hakubali tena kuwa mteja wa barca!!!

jose mourino asema zamu hii hakubali tena kuwa mteja wa barca!!!

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
kocha wa real madrid amehapa kuwa zamu hii ni zamu yake kutoa kipigo kitakatifu kitakacho iduwaza dunia kwa barca!ktk mechi ya kwanza ya kombe la mfalme itakayo chezwa j.tano ijayo ktk wa uwanja wa santiago bernabeu,na kurudiwa tena baada ya wiki moja ktk uwanja wa barca.Anasema ameshajua huwa anajikwaa wapi!na wachezaji wake waache papala,kwani amekuwa akifadhaika sana kila wakati kupata kipigo.Ngoja tuone ila sidhani kama jeuri hiyo anayo,jamani barca mziki mzito!!
 
namuonea huruma sana maana mpaka sasa anahangaika kutafuta dawa ya kumzuia Messi kwanza na bado hajaipata
 
Uwezo wanao, lakini tatizo lao huwa wanapanic halafu papala nyingi!
 
Bado anafungwa tena barca wako wel organize kuliko wao

Mi naombea Madrid apigwe game zote zilizobaki kucheza na Barca mpaka 'Special One' akili mbele ya vyombo vya habari kuwa Barca kwa sasa ni moto wa kuotea mbali,lkn vilevile ninawaombea Madrid achukue kombe la ligi msimu huu.
 
Back
Top Bottom