Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
kwenye story 3 Kuna mstari Jay mo anasema "hakumsikiza Jose mtambo alivyoimba Kizaa zaa/yamemuharibikia Mambo na Mtoto bado Hajazaa..haha real recognize realHahaa sawa mhenga,kati ya mvua na jua unapenda nini?
Binafsi namkubali Joseverest
Kuna hii Ngoma ya Roma mkatoliki,msimchukulie poa Jose Mtambo
mbabaishaji unamaanisha mshamba sio?hah kipindi hicho jay moe anaitwa mawazo..nikwambie verse kali za jay moe??iskize unforgettable ya nako2nako ft jay moe..iskize MAFIA ya ngwair FT jay moe..afu iskize Mbabaishaji ya jay moe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ntasemaje,ngoja nkazifanyishe battle nyimbo zao af ntarudkwenye story 3 Kuna mstari Jay mo anasema "hakumsikiza Jose mtambo alivyoimba Kizaa zaa/yamemuharibikia Mambo na Mtoto bado Hajazaa..haha real recognize real
sikumbuki poa kaka but Ni kile cha boya mfanya kazi WA muhindi Ana mapene dusko anamchukua demu WA moo,mpunga unakata demu Ana Rudi kwa moembabaishaji unamaanisha mshamba sio?
"Siwezi kuwa shemeji yaoo, kwa sababu mi dingi yaoo"JOSE MTAMBO
Inaitwa mshamba kwenye chorus alisimama Sir Nature..kali sanasikumbuki poa kaka but Ni kile cha boya mfanya kazi WA muhindi Ana mapene dusko anamchukua demu WA moo,mpunga unakata demu Ana Rudi kwa moe
Na ka picha kake hebu kapostDarasa huru
Si mchezo
Kithatha- hapa alikua na kundi 'Fan With Sense'
Twende sasa
Unaonaje
Bado anatisha
Wakueleze
Jose masihara
Nawapenda
Shut up
N.k
Jose Mtambo hatari, sema tu ni MC aliyekosa nyota tu ya kuhit
Jamaa anaandika sana na style yake iko 'unique' kuliko wengine
Mtambooo!
Tsup bro?Hahaha unachekesha sana..... Jose Mtambo ukamfananishe na Mo Technic,
Seriously!!!?