Jose Mtambo na Jay Mo nani mkali?

Nakwenda kumpa dili akinata nageuza gari twende na sinza mbezi Shakira tano kunduchi
Sio Nkinde Sio Leyla mtaa wao wa miyeyusho....

Kipindi hicho nampenda sana dem mmoja anaitwa Leyla... nilikuwa siambiwi kitu kwa Mo Jizze
 
jos mtambo ni mkali wa rap ambaye hakuwahi kupata promo.huwezi mlinganisha na jay mo. jos anachana sana.

 
Mtambo ana flows za kibabe sana. MO ana content zilizoenda shule.

Mnawafananisha kwa lipi?
 
"....wanasema hii ni hardcore mzee....ili watu wazime redio...hawana habari sifanyi kwa mashindano mi muziki upo ndani ya damu...washa redio...." Ana bonge la flow huyu jamaa...unique kabisa km alivokuwa late Complex,Imam Abbas,Dola Soul etcThe most underrated MC of all time...mzee wa "usiibe kabla giza halijaingia"

"Aliyenicheki zote nyakati kwenye raha shida
Ndo rafiki mwanaharakati kama wa alqaeda
Pamoja kama beat na rap au rhythm na poetry
Biochemistry na nurse au mgonjwa na therapist..." Anaandika sana jamaa.Amebadili kiaina muziki wake bila kuipoteza ile identity...Kitu kisicho rahisi wengi wameshindwa wamebadikika kabisa wamekuwa watu wengine...Wengi wakilainisha wanarap mataputapu...Johmakini na Wa pili ni watu tofauti kabisa na wale wa zamani...But Mo still on peak with the same mo techniq...with more advanced lyrics meeen...anakwambia..

"Hiyo ndo game ya sasa game ya insta....gram na mafacebook pia na tweeter..."

Kwangu mimi hao jamaa wote respect sana kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…