kesho asubuhi katika kipindi cha break fast Joseph Kusaga atakuwepo akijibu hoja na kwa wenye maswali ya aina yeyote ametoa namba ya simu 0786863716 hii ni kwa sms pamoja na e mail josephkusaga@ymail.com. So kwa maswali ya aina yeyote yale wamuulize tufunguke tumuulize kuhusu kila kitu kuhusu redio yake ya wafu