Mbilinyi ana RIGHT target lakini anafuata wrong process to archive RIGHT target. Unajuwa in the process of solving one problem usisababishe mengine
vilaza bana huelewi nini? wrong and long? mijitu mingine soma kamusi basimkuu hapo kwenye nyekundu ulikuwa /alikuwa unamainsha/anamainisha wrong au long
?
Unapokuwa na ugomvi na kila mtu basi ujuwe wewe ni tatizo
wewe kama sio mchomvu basi ni soudy brown maana hao ndio wana akili hiiwataingia bifu na kila mtu,tigo,voda na zantel nao si wanadhamini vipindi vya clouds basi wavunje pia line hzo.sasa sijui watatumia mtandao gan???? Hence proved vinega=vilaza.yoo
Nyie Vinega hamuwezi kupambana na kampuni kama AIRTEL...mnachekesha sana
Siku zote, matusi ni kimbilio la walioishiwa busara na hojana unapoelewana na kila mtu utakuwa na tatizo. bila shaka watakuwa wanakukameruni. Mia
Jamaa kasema na hapa namnukuu "...boycott CLOUDS FM...boycott AIRTEL na huduma zao zote kama AIRTEL-MONEY kwa sababu watumishi wake kama Twisa wanashirikiana kwa hila na wanyonyaji hawa wa wasanii...mfano ni kitendo cha Twisa kuwasapoti Clouds kwa fedha za AIRTEL na katika mazingira ya 'TATA' bajeti ya kuzunguka mikoani na wasanii ili kuwaharibia VINEGA wa ANTI-VIRUS tour yao ya kitaifa...THIS IS LONG WAR!!!
Na kinega mwingine akaunga mkono hoja ya sugu huyu ni sogy na hapa namnukuu... "Wanatuchokoza wenyewe...dawa yao ni kuwapiga mswaki kila wanapoenda.Line yangu ya Airtel naivunjia jukwaani kwenye show yetu ya Arusha na najua mashabiki wetu watafanya hivyo pia"
Very true mkuuWar does not determine who is right,only who is left- Bertrand russell sasa kwa mifano zaidi nenda Libya
Aangalie asije akagusa moto juu...heee sugu moto chini
hawezi kutangaza vita na kila mtu.......... lazima apime platforms zake!! akumbuke kinachosababisha tufike hapa kwenye ufisadi ni pesa and those people have money (moreover, they are indians)
He should pick his fights carefully
Kuna msemo unasema, unaweza kuchagua siku ya kuanzisha vita, lakini huwezi kupanga siku ya kumaliza vita.... HE SHOULD BE CAREFUL
Dude he is loosing it now .... facebook wall yake kila siku imejaa majungu .. anadhani kwamba akisema watu wasitumie airtel hawatotumia! yeye kama nani mpaka watu msikilize... hehehe!
"'
Tatizo mnahangaika na mitandao iliyojaa mjini pekee. Mtu wa CHIGANDUGANDU kule mahenge unapomueleza aachane na AIRTEL maana yake aachane na simu yake. Fikiria jambo kwa upana wake na si hiyo tarehe oayoitaja tu... Mfikirie aliyeko MCHOTEKA kule Tunduru, NYANGAMALA kule Lindi, LUAGALA kule Mtwara, MGAMBO kule Kigoma, KILANDO kule Rukwa... etc hawa watu kuwaambia waache Airtel ni sawa na kuwaambia waache kutumia simuMbona mnaanya sikilizia impact yke???! Aunt virus with no apology tunakukaribisha matongee tar 17 dec tuscan virus
vilaza bana huelewi nini? wrong and long? mijitu mingine soma kamusi basi