Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
"Muungano ule (UKAWA-2015) ulilenga kuviua vyama vingine na Chadema ndio ilikuwa namba moja kuvimaliza vyama vingine, NCCR Mageuzi haitarudia makosa yale"
Joseph Selasini, Makamu M/kiti NCCR Mageuzi.
Chanzo: Jambo TV
Joseph Selasini, Makamu M/kiti NCCR Mageuzi.
Chanzo: Jambo TV