Josephat Gwajima akana utajiri wake

Unavyokula sio kweli ni vyakooo!!!!! Na hapo unaposhupaa ndipo unapoonyesha kwamba umejaa ukungu kwenye ubongo wako wa nyuma!

Kwa jinsi ulivyo panic bila shaka wewe ni miongoni mwa misukule unayomtajirisha GWAJIMA...
 
Kwa jinsi ulivyo panic bila shaka wewe ni miongoni mwa misukule unayomtajirisha GWAJIMA...

I cant reduce myself into your level of thinking! Wewe endelea na mapambano yako na Gwajima wenu, Zitto kabwe, na mkienda sana chadema na ACT. Narudia, kama baba yako hakukukufundisha kufikiri na ukaishia hapo, I am not responsible for your zombie like attitudes!
 

Hata wale waliopo hospitali ya milembe hawajui kwanini wapo pale mpaka siku wakipona.....
 
Anatakiwa atubu na aache kutapeli na unga mambo yatakuwa OK
 
Kumropokea maneno ya kashfa mtu anayelingana na baba yako ni kumwambia ukweli au kumtukana....au wewe baba yako akikukosea au mkipishana kauli ndio unatumia lugha aliyoitumia gwajima kumweka sawa baba yako....??

hapa ndipo Gwajima alipokosea lakini yalishaisha baada ya Pengo kumsamehe .
 


Yetu macho.
 
Hana tofauti na mh wa pale karibu na mlimani city, ss kuna umuhim wa kuanza kufikiria mara mbilimbili kuhusu suala zima la sadaka.
 
Sakata la GWAJIMA NI SHAMBULIO KWA ukristo mbona hatuoni haya kwenye MISIKITI yenu?????
 

Tatizo ni nini? Si uende hapo tanganyika parkers ukajionee! Hesabu mistari ya viti kwa marefu na mapana kisha zidisha upate idadi ya watu halafu ongeza 1 yaani wewe! Watu watakaoenda na mawazo kama yako hawapungui 100, kwa kila wiki! Kwa mwezi atakuwa ameongeza washirika 400!
 

kikulacho upo right kabisa na jambo lingine ni kuwa yeye mwenyewe gwajima hajitambui kuwa anazidi kujipalia makaa
 
Sakata la GWAJIMA NI SHAMBULIO KWA ukristo mbona hatuoni haya kwenye MISIKITI yenu?????
Mkuu mimi kama mkristo nachukia sana wizi, uongo na ulagghai, kama wa self made "askofu" Gwajima.
Sasa ninyi mnaoamini kuwa mko 70,000 ilhali mnajiona kwa macho kuwa hamzidi 5000, basi ni lazima mmepandikizwa mapepo.
 


Nakushangaa sana gwajima,kwa nini usiwajibu kuwa wewe ni tajiri ndio? mimi naamini heri kuwa maskini wa mali kuliko maskin wa roho! So wew ni tajiri kiroho na kiiman wew ni tajiri kuliko hata hao wenye mali kukuzidi.

haleluyaaaaaaaaaaa!!|!!
 
duh. haya masikini ana 'hedikopta' na jumba la ghorofa nne! nchi hii hii

Aha ni vihela vya mboga tu na kabaiskeli cha kutembelea na kagari kengine ka kuruka hewani tu, Mungu akijalia siku moja nitakuwa katajiri kadogo tu
 
Najaribu kutafakari akili ya Gwajey na ya wafuasi wake,daaah !.
Halafu na pesa anapiga !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…