Josevarist upo wapi?

Josevarist upo wapi?

Kinga kingdom

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
769
Reaction score
846
Huyu member amekua mchangiaji no 1 kwa Kila uzi humu kampuni jukwaani,hii imemfanya kujulikana ktk Kila uzi..

Kwa muda sijaona comment yake, je kuna yeyote anaefahamu alipo?

Hana Cm,amezidiwA,amepatwa na nn? Maaana Sio kawaida yake huyu ndugu.
 
Sitashangaa ukawa umejianzishia uzi wewe mwenyewe alafu unajishangaa uko wapi!? JF inamambo sana siku hizi..

Hizi kiki za siasa zimeingia kila sehenu siku hizi
 
Back
Top Bottom