Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,178
- 4,410
Habari wana JF
Mkuu Joseverest hivi unatumia mbinu gani mpaka unapata mpaka 89% za wewe kuwa ni member wa kwanza ku comment asilimia hizo ya threads?
Ni kweli kitanda, gari, nyumba na kazi yako inakuwa pale tu unapoiwahi thread ndani ya JF hivyo huingiza noti?
Binafsi najua huwa inatokea km bahati mbaya/ zali tu la kuwahi lakini c kwa upande wako
Napenda nipate hata thread 3 ili nami niwe wa kwanza lakini halijawahi kunikuta so msaada wako unatakiwa kwa hili maana kuna uzi niliuona kuna jamaa analalamika baada ya wewe kumzidi kete
Mkuu Joseverest hivi unatumia mbinu gani mpaka unapata mpaka 89% za wewe kuwa ni member wa kwanza ku comment asilimia hizo ya threads?
Ni kweli kitanda, gari, nyumba na kazi yako inakuwa pale tu unapoiwahi thread ndani ya JF hivyo huingiza noti?
Binafsi najua huwa inatokea km bahati mbaya/ zali tu la kuwahi lakini c kwa upande wako
Napenda nipate hata thread 3 ili nami niwe wa kwanza lakini halijawahi kunikuta so msaada wako unatakiwa kwa hili maana kuna uzi niliuona kuna jamaa analalamika baada ya wewe kumzidi kete