Joseverest na wengineo wenye maujuzi inawahusu

Tayukwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
2,178
Reaction score
4,410
Habari wana JF
Mkuu Joseverest hivi unatumia mbinu gani mpaka unapata mpaka 89% za wewe kuwa ni member wa kwanza ku comment asilimia hizo ya threads?
Ni kweli kitanda, gari, nyumba na kazi yako inakuwa pale tu unapoiwahi thread ndani ya JF hivyo huingiza noti?
Binafsi najua huwa inatokea km bahati mbaya/ zali tu la kuwahi lakini c kwa upande wako
Napenda nipate hata thread 3 ili nami niwe wa kwanza lakini halijawahi kunikuta so msaada wako unatakiwa kwa hili maana kuna uzi niliuona kuna jamaa analalamika baada ya wewe kumzidi kete
 
Ukishakuwa wa kwanza kuchangia unapata nyongeza ya kipato au?
 
ntakuwa naku-tag kila uzi ntakaokuwa juu ili nawe uone kama kuna raha yoyote ya kuwa wa kwanza
We jamaa wee yaani umefanya kweli?
mimi ni-tag kwenye, matangazo madogo+ujasiliamali only that please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…