Joseverest na wengineo wenye maujuzi inawahusu

Mbona hii ya kwako hayupo sio kweli umedanganya kwanza ngoja aje uone
 
Acheni majungu wanaume wazima mmekalia majungu loooh!!; yani humu ndani khaaa umekosa mada za kupost??! Hayo ni maisha ya mtu awe hana kazi awe na kazi hayawahusu fanyeni yenu na mkimjadili mmemkubaliii look

Wanaume wa dar bhanaa
Nashangaa hivi huyu mbona tunamuacha hivihivi
 
Mi ninachohisi huyu jamaa yeye akiona heading tu anachangia yaani hasomi contents ndo maana maneno yake ni mafupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…