Joshua alilisimamisha Jua

Nadhani alie copy kitabu alie copy vibaya kama alisimasha dunia yupo sawa ila kama ni jua ahh alie copy maandishi ameundangaya ulimwengu.
 
Umegundu ww mkuu na uongo wako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Acha uongo ww mbn unakua mkuda.
Acha weee ,earth makes a 24 hour revolution around its axis plus a 365 days revolution round the sun simultaneously bro. Mtumishi wa Mungu ,mtunisha misuli Joshua alizuia mzunguko wa masaa 24.
 
Give me a lever long enough and a fulcrum on which to place it, and I shall move the world.Qoute Archimedes. Ukweli mtupu power of a simple machine.
 
hii moja ya dalili za shibe, ama kweli uchumi unakua Tz.
 
Mbona jib ni dogo sana apo wala haiitakiwi pHD kutambua,,,

Ni kuamuru tu jua lisizame bas Mungu akamfanyia kwa atakavyo na akamshighulikia adui vzr tu.. Au unadhan kila unalofanya lazima ulishike? Saut yako tu inaweza angamiza familia au cchte kile
 

Kwa namana binadamu tunavyoona kwa macho ni kwamba jua linatembea lakini kiuhalisia jua halitembei ila dunia ndiyo inayotembea kwa kasi ikilizunguka jua, na hivyo mfumo wote wa jua (solar sytem), unatembea kwa kulizunguka jua, lenyewe likiwa liko palepale.
Hivyo alichofanya Joshua ni kikubwa zaidi kwa sababu hakusimamisha jua ila alisimamisha Solar Sytem yote na ndiye aliyesababisha mwaka ukawa na siku 365.25, ambayo hiyo 0.25 ya mwaka huwa tunakuja kuiongeza baada ya miaka minne na hivyo mwaka wa nne unakuwa na siku 366. Kabla ya Joshua miaka yote ilikuwa na siku 366

Kawaida dunia yetu hii ambayo kwa macho yako wewe unaiona kama imesimama inakimbia kwa kasi ya ajabu sana ya mwendokasi wa kilomita 30 kwa sekunde (sawa na kilomita 108,000 kwa saa) ikilizunguka jua na hivyo kusababisha majira ya mwaka, na pia inazunguka yenyewe kwenye mhimili wake (mzunguko unaosababisha majira ya usiku na mchama) kwa kasi ya kilometa 1670 kwa saa.

Mwendokasi wa dunia kuzunguka kwenye mhimili wake (km 1,670 kwa saa) ukitengeneza gari yenye uwezo wa kukimbia hivyo, ikitoka Dar kwenda Bukoba itatumia takribani saa 1. Na mwendokasi wa dunia kulizunguka jua, ukitengeneza gari yenye mwendokasi unaolingana na huo, inaweza ikafanya trip za Mwanza Dar kwenda na kurudi, takribani 5 kwa saa moja, sawa sawa na safrari 10 za Dar Mwanza bila kurudi, ndani ya lisaa limoja!
 
Nikurekebishe tyu sio kweli jua halizunguki kokote hamna sayansi kama hio
Ila dunia inazunguka jua while jua na solar system yote linazunguka around a centre commonly called as the black hole in the milky way galaxy
 
I'm a free thinker like you and napenda alternatives science theory but on credible ones

Flat earth theory has not one credible idea kwa any intelligent man

And another thing una blame wazungu kwa Ku make up things unaenda you tube unachukua video ya mzungu Kum dicred mzungu so bado unaonyesha mzungu is superior to you

Unaenda website ya mzungu kupandikizwa idea za flat earth hafu unakuja hapa unablame mzungu that is not being a great thinker


In fact uli vo copy na kupaste hapa tumevisoma hizo ni vitu written by flat earth societies, I would be more fascinated if you came up with something new of your own as an African kutuconvince in what you believe not copy and pasting


Thanks
 
mkuu Kuna swali la kizushi umeulizwa hapo juu,binadamu WA kwanza alikuwa nyani?chagua kuamini maandiko au sayansi
Mmesoma sayansi gani inayosema binadamu alikuwa nyani

We mwalimu wako alikuwa kilaza sana may be kama ndo alikugundisha hivo

Kwenye science unasoma different theories

And again kasome tena maana ya theory !!

Na leta kitabu chochote kinachosema tulikuwa nyani

"Theory inasema we had the same ancestors sio tulikuwa nyani "
 
Hiyo inamaana pia kuwa dunia ilisimama kujizungusha katika muhimili wake...na jua likaonekana angani kama halisogei kuelekea kuzama.
Yes Tempus tunawaza sawa.... Thats correct
 
Acha weee ,earth makes a 24 hour revolution around its axis plus a 365 days revolution round the sun simultaneously bro. Mtumishi wa Mungu ,mtunisha misuli Joshua alizuia mzunguko wa masaa 24.
Kweli kabisa ingekuwa inaruhusiwa kuedit maandiko matakatifu tunge. Edit bible ila yaache maadiko yabaki vlevle
 
Alichelewesha jua kuzama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…