Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Hata akina Pa Omar Jobe nao waliwamwagia sifa za aina hii hii! Halafu shughuli ilipoanza kuchanganya tu, wakawageuka!!Mbumbumbu muda wa usajili mnashangilia kama ndo ubingwa.
League ikianza mnalaumu Referees.
Haya
Wacheni kukomalia uchawi wekezeni,mpira ni uwekezaji.Hichi kikundi cha wachawi na majini hawataki kusika mafanikio ya Simba sc..ila tutawashinda msimu ujayo kwa Damu ya Yesu kristo...hawa vyura ni wachawi mbaya..dawa yao ni damu ya Yesukristo
Shida mnasajili kwasababu ya Yangayani beki mwamnyeto kazi ipo Utopolo๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ
Mtoa mada ni UTO PRO MAXMbumbumbu muda wa usajili mnashangilia kama ndo ubingwa.
League ikianza mnalaumu Referees.
Haya
Carrasco PutinMtoa post kama anauelekeo wa utopoloni
Wanalaumu majiniMbumbumbu muda wa usajili mnashangilia kama ndo ubingwa.
League ikianza mnalaumu Referees.
Haya
Basi ukute wote hao ni ndugu zako; unashindwa uongee nao vipi. Mimi kaka zangu wakubwa wawili wote ni kolo tupu; kwa hiyo wakati wa maongezi kama haya huwa najifanya siwasikii.Carrasco Putin
Great XI
Sayyile
Muhasibu Okwi boban
Na dada yao kalpana ,wote ni makolo lialia ,
Kwa hiyo ndugu yenu msimkimbie
Tena huh uzi tunauhifadhi Kwa ajili ya kumbukumbu
Teh teh teh, tunasubiri jibuSifa ziende kwa Mangungu au Mo? tuambizane mapema baadae lawama asie pewa asie husika
Carrasco Putin
Great XI
Sayyile
Muhasibu Okwi boban
Na dada yao kalpana ,wote ni makolo lialia ,
Kwa hiyo ndugu yenu msimkimbie
Tena huh uzi tunauhifadhi Kwa ajili ya kumbukumbu