Joshua Nassari akamatwa na Polisi kuhusiana na kipigo walichopata magamba kwenye chaguzi hizi..

Joshua Nassari akamatwa na Polisi kuhusiana na kipigo walichopata magamba kwenye chaguzi hizi..

GanjaPlanter

Senior Member
Joined
May 27, 2014
Posts
117
Reaction score
119
Joshua Nassari amekamatwa na Polisi jioni hii na yuko ndani Kituo cha Polisi USA River Arusha kuhusiana na masuala haya ya Uchaguzi...

Katibu wake anasema wamefuatilia kituoni hapo kujua sababu ya Polisi kumshikilia wakaishia kufukuzwa na Polisi hawatoi majibu yeyote..

Nadhani nguvu ya umma inahitajika askari wetu wajue wajibu wao na haki za Raia na hasa Viongozi wa Umma!
 
katibu wa mbunge mpaka mbunge wako anakamatwa wewe ulikuwa hujui hauko makini hebu kamtoe kwa dhamana
 
ganjaplanter nguvu ya umma kutetea maovu?? nassari amefanya makosa na ndio maana amekamatwa sasa ninyi si mnao wanasheria waliobobea ? waambieni waende wakamtetee lakini huo upuuzi unaoleta wa kudai nggvu ya umma na sisi tutatoka barababrani halafu hapatatosha...kama mbwai na iwe mbwai tu...mnatoa ushuzi ninyi mnataka wanuke watu wengine....
Joshua Nassari amekamatwa na Polisi jioni hii na yuko ndani Kituo cha Polisi USA River Arusha kuhusiana na masuala haya ya Uchaguzi...

Katibu wake anasema wamefuatilia kituoni hapo kujua sababu ya Polisi kumshikilia wakaishia kufukuzwa na Polisi hawatoi majibu yeyote..

Nadhani nguvu ya umma inahitajika askari wetu wajue wajibu wao na haki za Raia na hasa Viongozi wa Umma!
 
Kwa nini hisipigwe takbiri watu wakachoma hicho kiofisi?


SWISSME:
 
Back
Top Bottom