Joshua Nassari ataendelea na 'mapambano' yake ya kisheria dhidi ya Spika Ndugai tarehe 30 Sptemba, 2020?

Joshua Nassari ataendelea na 'mapambano' yake ya kisheria dhidi ya Spika Ndugai tarehe 30 Sptemba, 2020?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Nimeona Nyaraka kutoka Mahakama ya Rufani Tanzania kuwa shauri la Madai Nambari 342 la mwaka 2019 kati ya Joshua Samwel Nassari dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganon wa Tanzania limepangwa kusikilizwa mnamo tarehe 30 mwezi Septemba kwama huu. Shauri hilo lililopo Mahakama ya Rufaa ya Tanzania lipo mbele ya Majaji wa Rufaa watatu (Mhe. Mkuye, Mhe. Wambali na Mhe. Korosso).

Kwa kutazama kilichojiri hadi sasa tangu Nassari apoteze Ubunge wake wa Arumeru Mashariki (mfano Bunge kumaliza muda wake; Nassari kuhamia CCM na Nassari kugombea tiketi ya CCM Arumeru Mashariki kabla ya Wajumbe kufanya yao), kuna uwezekano wowote wa Nassari kuendelea na shauri lake dhidi ya Spika wa Bunge?
 

Attachments

Ataendelea. Si amekataliwa kugombea tena kama Silinde na Gekul
 
Hii mada fikirishi🤔
Hathubutu! Naamini kishafuta jalada!

Anasubiri uteuzi!

Everyday is Saturday.............................😎
 
Back
Top Bottom