Halima mkubwa sana kwa huyu mtoto lol
ila makubaliano yao wenyewe, yetu macho!
Lowassa hawezi kukubali
lazima mwanae Pamela awe na mume mbunge
right now Siyoi atapigwa kibuti...Nassari atakabidhiwa Pamela...
Is that a confirmed news? Maana Halima alishaongea kwenye Media kuwa hana mtu.
Hivi reaction ya Halima Mdee ilikuwaje karibu mara 2-3 ambazo Joshua alisema atamwoa? Au ilikuwa tu ni mkakati wa Kampeni na Propaganda?
Halima mkubwa sana kwa huyu mtoto lol
ila makubaliano yao wenyewe, yetu macho!
Is that a confirmed news? Maana Halima alishaongea kwenye Media kuwa hana mtu.
Lowassa hawezi kukubali
lazima mwanae Pamela awe na mume mbunge
right now Siyoi atapigwa kibuti...Nassari atakabidhiwa Pamela...