Hapana mkuu me ni nlikiwa invisible member Wa jf Sema sikutaka kujiunga mapema nikawa nafuatilia tu nyuzi za humu ila nipo hapa tokea 2012 nikiwa nasoma tu upepo Wa hapa jfDuuh Mkuu kwanza Karibu..Yani umejiunga tu na kuanzisha Uzi! π ..au wewe ndiyo Joslini ? π Kama Siyo fungua Kuna Uzi unawazungumzia Wasanii waliopotea Katika Muziki Kwa Bongo..Utapata Habari zake.