Joti anahamasisha ushoga

livafan

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2016
Posts
2,955
Reaction score
5,616
Sikatai Joti yuko after Mpunga na ni kwa Faida na masirahi yake ni jambo lililo jema kabisa. Juu ya uwezo wake Wa kuigiza sina Mashaka he is a special celebrity hapa Bongo.
Kuhusu cc watu wazima sina shaka nalo kwa sababu tunaelewa nn anachokifanya na anachotafuta, ila Kwa kuwatazama watt wetu inawaharibu maana watt wanajifunza na kuiga tabia hii ya kishoga shoga hasa watt wa kiume.

Joti anauwezo mkubwa mno Wa kuigiza, akanogesha na kueleweka bila kuharibu maadili ya taifa letu hasa kupitia wtt ambao ni taifa la kesho.
[emoji116]
 
Anahamasishaje hapo ?

Kufikiria ushoga ni kuwa kichwani kwako kuna mawazo ya kishoga ndio maana unaona anachofanya kinafanana na unachokifikiria.

Yaani unaagua mawazo yako mwenyewe.
 
Acha wivu.... Acha jamaa apige mpunga...swala la mwanao kuwa shoga au kutokua shoga ni machaguzi ya wew mzazi katika kumonitor mwenendo yake na step zake zote za maisha.....pabaya umkanye mara moja pazur mpongeze na mpe go ahead,,,

Joti kaanza lini kufanya hivo!!!!??? Mbona mashoga wangekua wengi sana.......tangu The comedy!!?? Wa unasema leo!!!
 

nenda insta kuna watu wanajifanya makomedi kuigiza kama wanawake ina niboa sana
 
Kwahiyo Joti ndio anakuhamasisha ushoga? Sema kweli bhana usitafute visingizio.
 
Bora ya Joti,hapo yupo kazini anasaka tonge na jamaa huwa akiigiza kama mtoto anahit,akiigiza mzee anahit,akiigiza mwanamke anahit.
Ila kuna wale wajomba wa insta wanachefua wakiigiza wanawake akina Jaymond na Dullvani na wengine jina limenitoka kidogo
 
Joti kaanza kuigiza ni leo au umetoka Sigimbi hivi karibuni bro....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…