Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve Sabora Camp Serengeti

Hahahaha
 
Shida ni tipu ukiwapa wanakutreat kama mzungu mbaya sana hii
 
Haya malalamiko nampa waziri direct tunayafanyia kazi pole sana mkuu
 
tunashugulikia haya malalamiko tutatumwa watu wetu soon mtapata matokeo
 
Ukilipa cash wale staff wanazipiga ndio mana tulizuia ilo ila kwasasa tutashugulikia hii kero mkuu pole sana
 
[emoji15] [emoji15] $500 per day!!!uwiiii
 
Reactions: SDG
Jmn halafu wanatuhamasisha ndo nn ss!? Bora ht nimepita hapa nimesoma nimejua ,looo!
 
Hii hoteli mkasi balaa. Hata hoteli za dar hazifikii bei yake
 
Jmn halafu wanatuhamasisha ndo nn ss!? Bora ht nimepita hapa nimesoma nimejua ,looo!
Nenda tu mkuu! Cha kuhadithiwa ni tofauti na cha kuona!! Ila ndiyo hivyo!utalii wa huko si rafiki kwa mtu mweusi! Nimeambiwa!kisha nikashuhudia mwenyewe,its boring madam,ila mkuu kifinga amesema yeye ana acces na mamlaka hivyo tunategemea atafikisha malalamiko yetu na yatafanyiwa kazi kikamilifu!nililalamika pale geti la ngorongoro/serengeti,yule askari anayecheki vibali akaniambia "unalalamika nini wakati tena tumewapendelea sana tu? Au tukuandikie bili ya wageni mkome?" nikamwambia bora nilipe zaidi kuliko kuonyeshwa ubaguzi wa waziwazi!
 
Ngozi nyeupe wanatoa kitu inaitwa tip ila wakijua ww ni mbongo hawana time na ww wanajua hutoi kitu,naonaga mara 10 kama nna hela yangu niende sehemu kama Zenji au Tanga nikatulize nafsi kuliko kwenda kwenda huko ni karaha tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…