Kile kipindi cha kipuzi Kwenye Orijino komedi TBC1 Umefulia kilidhalilisha wengi sana.
Mpoki alimuigiza Kama Jengua Muhammed FungaFunga eti kafulia. Huku Joti akimfuatafua na maswali kwanini kapotea.
Mpoki (Jengua) anamjibu mbona yupo tuu siku hizi vipindi vyake viko CNN na BBC. Joti akamjibu huku akijigaragaza chini mwongo wewee Umefulia.
Yani wale jamaa ni wapuuzi sana hata mmoja wao anayeumwa asionewe huruma.
Wameshawahi kuwaigiza na kuwadhalilisha.
Augustino Mrema
Edibily Lunyamila
Muumin Mwinjuma
Pia walimuigiza kwa kumdhalilisha Hasma Hamis Kidogo kafulia. Yule mwanamama mrembo aliyeimba taarab mapenzi ya dhati. Ilibidi irushwe hewani wiki iyo Wakaghairi kuirusha wiki iyo kwasababu aliaga dunia. Bila hata aibu Macregan ambaye alimuigiza akahudhuria msiba. Wapuuzi sana hawa majamaa.
Kipindi icho kilipigwa stop baada ya walipomuigiza Laurence Masha aliyejuwa Waziri wa mambo ya ndani wakati wa JK kwa kushindwa ubunge na kukosa kuteuliwa tena kwenye baraza la mawaziri. Sijui Macha alilalamika.
Walimdhalilisha pia mara kwa mara Lowassa na Mzee Mengi na John Komba.
Joti, Masanja, Mpoki, Wakuvanga na Vengu wameleta maumivu na udhalilishaji wa hali ya juu kwenye jamii. Ni wapuuzi.
R. I. P
Jengua
Mpoki alimuigiza Kama Jengua Muhammed FungaFunga eti kafulia. Huku Joti akimfuatafua na maswali kwanini kapotea.
Mpoki (Jengua) anamjibu mbona yupo tuu siku hizi vipindi vyake viko CNN na BBC. Joti akamjibu huku akijigaragaza chini mwongo wewee Umefulia.
Yani wale jamaa ni wapuuzi sana hata mmoja wao anayeumwa asionewe huruma.
Wameshawahi kuwaigiza na kuwadhalilisha.
Augustino Mrema
Edibily Lunyamila
Muumin Mwinjuma
Pia walimuigiza kwa kumdhalilisha Hasma Hamis Kidogo kafulia. Yule mwanamama mrembo aliyeimba taarab mapenzi ya dhati. Ilibidi irushwe hewani wiki iyo Wakaghairi kuirusha wiki iyo kwasababu aliaga dunia. Bila hata aibu Macregan ambaye alimuigiza akahudhuria msiba. Wapuuzi sana hawa majamaa.
Kipindi icho kilipigwa stop baada ya walipomuigiza Laurence Masha aliyejuwa Waziri wa mambo ya ndani wakati wa JK kwa kushindwa ubunge na kukosa kuteuliwa tena kwenye baraza la mawaziri. Sijui Macha alilalamika.
Walimdhalilisha pia mara kwa mara Lowassa na Mzee Mengi na John Komba.
Joti, Masanja, Mpoki, Wakuvanga na Vengu wameleta maumivu na udhalilishaji wa hali ya juu kwenye jamii. Ni wapuuzi.
R. I. P
Jengua