Joto hasira wa jay dee

Joto hasira wa jay dee

mama lubango

Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
56
Reaction score
8
Una maana gani huu wimbo? Mi nimeshindwa kupata message nisaidieni na mie niuelewe
 
Ni kelele tu hamna lolote humo halafu anadai anabaniwa. Ile nyimbo ni bora kutumia kufukuzia nzige mashambani
 
Haaah. Eti ana sumbuliwa na ndoto anaziandika kwa ma blogs uyu mdada ugumba/utasa vina mtatiza sana uyu jide.
Haeleweki ana maanagani . Hata mi sija mwelewa.
 
Haaah. Eti ana sumbuliwa na ndoto anaziandika kwa ma blogs uyu mdada ugumba/utasa vina mtatiza sana uyu jide.
Haeleweki ana maanagani . Hata mi sija mwelewa.

Da ndugu unaonekana unahasira na Jide!! halafu tusi la namna hiyo si nzuri, hakuna mtu anafurahia ugonjwa alionao! kumbuka hii ni dunia, leo uko fit kesho ujui nini kitakukuta. unaweza pata pigo kubwa zaidi ya utasa wa Jide. Leo mungu kakujalia uzazi, hujui mtoto wako anaweza kuwa tasa, na sidhani kama utafuraia hali hiyo. Kikubwa mpendwa, mwenzako anapokua na jaribu muombee, na kikubwa kama umpendi, mseme mambo mengine na si kumtukana namna hiyo!! ni hayo tu mkuu!
 
Mh unawezaje kumsema mtu kwa tatizo lake jama u never know hata hao watoto uliojaliwa ww wakakutoka na usiwe na uwezo wa kuzaa tena,
 
Dah hili Bifu lao limekwenda Extra Miles, Ile groove Back yote imetimua mbio, Peter moe naona kaondoka na watu wake wote no more Groove back, imebaki historia!
J
IDE hakuwa strategic kbs maana hakuwa amejipanga kwa mabadilikko ambayo wangeweza kutokea kama haya ya akina Peter Moe kuhamia East 24 Bar& Griil kitu ambacho kimeharibu kabisa flava ya old school!

wazee wa old school twendeni sasa Isumba Lounge Jolly Club, Ally Hassan Mwinyi Road ambako JD John Dillinga matlou anaendelza flashback na old school!
 
Una maana gani huu wimbo? Mi nimeshindwa kupata message nisaidieni na mie niuelewe

Ngoja nikupe beti mbili pamoja na Chorus yake hapa chini. Kama bado hujapata maana yake siwezi kukusaidia zaidi. Sehemu ya RAP is even deeper. Think!!


VERSE 1:

Kila siku nimenuna
Kwanini tunagombana
Tena tunakosoana, kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana
Ya si kuzinguana
Yaani kila mtu anajua sana
Au yote sababu ya?, sababu ya?

Chorus:
Hili joto hasira, ambaa
Upepo hakuna, ambaa,
Naruka mwenyewe, yelela, yelela, ambaa.
Foleni njia nzima, ambaa
Na pesa hakuna, ambaa,
Naruka mwenyewe, yelela, yelela, ambaa

VERSE 2:
Mazao twalima wote
Sahani wavuta kwako
Kama chakula tule wote
Kwanini chote kije kwako
Kisu mpini umeshika wewe
Vitisho kunikata mimi mmmmhh
Au yote sababu ya? Sababu ya?

Chorus:
 
Ngoja nikupe beti mbili pamoja na Chorus yake hapa chini. Kama bado hujapata maana yake siwezi kukusaidia zaidi. Sehemu ya RAP is even deeper. Think!!


VERSE 1:

Kila siku nimenuna
Kwanini tunagombana
Tena tunakosoana, kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana
Ya si kuzinguana
Yaani kila mtu anajua sana
Au yote sababu ya?, sababu ya?

Chorus:
Hili joto hasira, ambaa
Upepo hakuna, ambaa,
Naruka mwenyewe, yelela, yelela, ambaa.
Foleni njia nzima, ambaa
Na pesa hakuna, ambaa,
Naruka mwenyewe, yelela, yelela, ambaa

VERSE 2:
Mazao twalima wote
Sahani wavuta kwako
Kama chakula tule wote
Kwanini chote kije kwako
Kisu mpini umeshika wewe
Vitisho kunikata mimi mmmmhh
Au yote sababu ya? Sababu ya?

Chorus:

Unasumbuka bure huyu kagoma kuelewa tu haiwezekani uwe una ubongo mdogo kiasi hicho ushindwe kung'amua maudhui yaliyoandikwa kiswahili mi nahisi kuna jambo hapa analitafuta.
 
Ngoja nikupe beti mbili pamoja na Chorus yake hapa chini. Kama bado hujapata maana yake siwezi kukusaidia zaidi. Sehemu ya RAP is even deeper. Think!!


VERSE 1:

Kila siku nimenuna
Kwanini tunagombana
Tena tunakosoana, kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana
Ya si kuzinguana
Yaani kila mtu anajua sana
Au yote sababu ya?, sababu ya?

Chorus:
Hili joto hasira, ambaa
Upepo hakuna, ambaa,
Naruka mwenyewe, yelela, yelela, ambaa.
Foleni njia nzima, ambaa
Na pesa hakuna, ambaa,
Naruka mwenyewe, yelela, yelela, ambaa

VERSE 2:
Mazao twalima wote
Sahani wavuta kwako
Kama chakula tule wote
Kwanini chote kije kwako
Kisu mpini umeshika wewe
Vitisho kunikata mimi mmmmhh
Au yote sababu ya? Sababu ya?

Chorus:

Na kwenye RAP kuna vipande kama
Rafiki wa kweli ni mama na baba, kwani binadamu wa leo wana roho saba,
Vita yako unataka tupigane wote, tushinde wote au tufe wote,
Kama ni kulima tumelima wote, kupanda tumepanda wote, kupalilia tumepalilia wote, Haa..!! nashangaa mbona HATUVUNI WOTE...
 
Huyu dada nyimbo zake mimi huwa nashindwa kuzitofautisha na kwaya
 
Yaan nimetoka kuuweka mida hii bonge la song hilo kudadadeki

Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie's
 
tatizo lake anawaiga mafikozolo kwa style za nyimbo zao..mwisho wa siku anaimba kwaya!!kwa akina vanessa na akina maua atasubiri saanaaa!!sauti yake ipo flat sanaaa!!
 
Back
Top Bottom