Joto kali nchini Hispania lasababisha vifo vya watu 510

Joto kali nchini Hispania lasababisha vifo vya watu 510

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Taasisi ya Afya ya Carlos III ya Hispania, watu 510 wamefariki kutokana na wimbi la joto kali nchini Hispania. Joto kali lilianza tarehe 10 Julai, huku joto la juu zaidi nchini humo likifikia kati ya nyuzi 39 hadi 45.
VCG111392519170.jpg

VCG111392531730.jpg
 
Wenye hela ndio kipindi cha kufanya utalii maeneo yenye hali ya hewa safi. Waje wapumzike Tanzania 🇹🇿
 
Back
Top Bottom