Joto la Dar kizuizi cha ongezeko la watu

Joto la Dar kizuizi cha ongezeko la watu

His Eminence

Senior Member
Joined
Sep 22, 2024
Posts
123
Reaction score
376
Idadi ya watu kuongezeka inapelekea kukutana na kashikashi zitokanazo na Joto la Dar kwa sababu linapunguza NGUVU za KIUME kwa maana ya kukosesha hamu ya kufanya mapenzi na hivyo kupelekea tendo la ndoa kuwa lenye kukosa Radha na hivyo kutishia uwajibikaji wa kufanya Hilo tendo lenye malengo mawili, burudani na kuleta watoto Duniani.

- Umejikoki kwenda kugegeda mko room mmeagiza na konyagi Ile kubwa na tonic water mara umeme unakatika,madirisha ya lodge zetu Huwa siyo makubwa sana ama unakuta lodge imebabanishwa kusave kiwanja Kuta zipo karibu hewa hakuna, hapo usitegemee kunachochote kitafanyika zaidi.

- Demu ukute mweusi kapiga na kope za bandia, make-up mixer na wigi na hili Joto uko naye ndani ya lodge zile harufu ya hizo bidhaa zake fake Huwa zinakwamisha zoezi na usimamishaji unakuwa wa kuvuta hisia ama usitokee

- Joto la Dar ukute wote hamjanyoa either kwa kujisahau ama vyovyote vile,umeme umekatika Ac hazifanyi kazi, maji nayo hayatoki usitegemee Kuna kuzama ama uchanuaji wa kujiamini.

Nashauri pesa tuitafute siku za Joto kama hizi mtu weekend unasafiri kwenda mikoa ya jirani kwa ajiri kukwepa madhira yatokanayo na Joto la Dar.
 
Kipindi cha baridi kali mwili hutumia nguvu kubwa zaidi kudumisha joto la mwili hivyo kupunguza kasi ya kuzaliana🤔🤔
 
Asilimia 2000 ya watu mnaoish dar mna matatz ya akili muonen hata mama yenu hata yule wazir kaul zake afu mkija mikoan mnajiona matawi yote hayo ni matatizo ya akili baada ya miaka 3 mbele mtakuwa vichaa
 
Ni utafiti wa kisayansi au maoni yako binafsi tu unayotaka yaheshimiwe
 
Idadi ya watu kuongezeka inapelekea kukutana na kashikashi zitokanazo na Joto la Dar kwa sababu linapunguza NGUVU za KIUME kwa maana ya kukosesha hamu ya kufanya mapenzi na hivyo kupelekea tendo la ndoa kuwa lenye kukosa Radha na hivyo kutishia uwajibikaji wa kufanya Hilo tendo lenye malengo mawili ,burudani na kuleta watoto Duniani...
-Umejikoki kwenda kugegeda mko room mmeagiza na konyagi Ile kubwa na tonic water mara umeme unakatika,madirisha ya lodge zetu Huwa siyo makubwa sana ama unakuta lodge imebabanishwa kusave kiwanja Kuta zipo karibu hewa hakuna,hapo usitegemee kunachochote kitafanyika zaidi..
-Demu ukute mweusi kapiga na kope za bandia, make-up mixer na wigi na hili Joto uko naye ndani ya lodge zile harufu ya hizo bidhaa zake fake Huwa zinakwamisha zoezi na usimamishaji unakuwa wa kuvuta hisia ama usitokee
-Joto la Dar ukute wote hamjanyoa either kwa kujisahau ama vyovyote vile,umeme umekatika Ac hazifanyi kazi ,maji nayo hayatoki usitegemee Kuna kuzama ama uchanuaji wa kujiamini..
Nashauri pesa tuitafute siku za Joto kama Hizi Mtu wkend unasafiri kwenda mikoa ya jirani kwa ajiri kukwepa madhira yatokanayo na Joto la Dar...
Hatukuelewi wala haueleweki.

Gwaride kama kawa
 
Kapigianeni fimbo hata Mafinga kwani lazima hapohapo
 
Idadi ya watu kuongezeka inapelekea kukutana na kashikashi zitokanazo na Joto la Dar kwa sababu linapunguza NGUVU za KIUME kwa maana ya kukosesha hamu ya kufanya mapenzi na hivyo kupelekea tendo la ndoa kuwa lenye kukosa Radha na hivyo kutishia uwajibikaji wa kufanya Hilo tendo lenye malengo mawili, burudani na kuleta watoto Duniani.

- Umejikoki kwenda kugegeda mko room mmeagiza na konyagi Ile kubwa na tonic water mara umeme unakatika,madirisha ya lodge zetu Huwa siyo makubwa sana ama unakuta lodge imebabanishwa kusave kiwanja Kuta zipo karibu hewa hakuna, hapo usitegemee kunachochote kitafanyika zaidi.

- Demu ukute mweusi kapiga na kope za bandia, make-up mixer na wigi na hili Joto uko naye ndani ya lodge zile harufu ya hizo bidhaa zake fake Huwa zinakwamisha zoezi na usimamishaji unakuwa wa kuvuta hisia ama usitokee

- Joto la Dar ukute wote hamjanyoa either kwa kujisahau ama vyovyote vile,umeme umekatika Ac hazifanyi kazi, maji nayo hayatoki usitegemee Kuna kuzama ama uchanuaji wa kujiamini.

Nashauri pesa tuitafute siku za Joto kama hizi mtu weekend unasafiri kwenda mikoa ya jirani kwa ajiri kukwepa madhira yatokanayo na Joto la Dar.
Gentleman,
Fanya na ushiriki mazoezi, kula vizuri na upumzishe mwili wako, na kwa hakika utakua fiti kalikiti kwenye game bila kusingizia joto, halafu tena baadae uje usingizie baridi, giza au mwanga🐒
 
Gentleman,
Fanya na ushiriki mazoezi, kula vizuri na upumzishe mwili wako, na kwa hakika utakua fiti kalikiti kwenye game bila kusingizia joto, halafu tena baadae uje usingizie baridi, giza au mwanga🐒
hujanielewa lakini....ama hujasoma Uzi kwa kina...
 
hujanielewa lakini....ama hujasoma Uzi kwa kina...
hakuna kisingizio kwenye show show gentleman, sijui eti baridi au joto linafanya nini wapi. Hiyo kitu hamna bana, kutakua na tatizo tu miongoni mwenu.

liwe joto, iwe jua au mvua show show tu na unawafyatua vizuri tu bila AC wala feni, unyoe au usinyoe 🐒
 
Back
Top Bottom