Joto la uchaguzi limepanda, nazunguka kwenye mitandao ya kijamii tu

Joto la uchaguzi limepanda, nazunguka kwenye mitandao ya kijamii tu

yello masai

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
3,662
Reaction score
3,715
Joto la uchaguzi linazidi kupanda.

Kila saa natoka JF naenda Twitter natoka Twitter narudi JF, nazurula mitandaoni kama sina kazi ya kufanya vile.

Na mbaya zaidi sijahakiki kitambulisho, hivyo sipigi kura. Lakini sitaki kupitwa kinachoendelea.

Najua mpo wengi mnaofanana na mimi.

Kama unafanana na mimi changia chochote hapa,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hichi ndo ninachokianya hata mimi yani unatamani usiku usiingie maana dah hili joto noma ...na lisu ndo anafanya sasa tunakaribia melting point kabisa [emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Pongezi za awali
JamiiForums936589565.jpg
IMG-20200826-WA0078.jpg
 
We jamaa umeniona Mimi nini nafanya kazi kidogo naludi tena sitamani hata mtoto aniite had I mke kasema VIP mbona IPO bize sana kila mda nipo mtandaoni joto LA uchaguzi ni Kali sana na vile nilikuwa nimejikatia tamaa naona moral imeludi kwa kasi ya ajabu sana
 
Ukitafuatilia JF na tweeter unaweza ukaswma ni nchi nyingine hivi ! In short wengi humu na hata tweeter sio wapiga kura !
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hichi ndo ninachokianya hata mimi yani unatamani usiku usiingie maana dah hili joto noma ...na lisu ndo anafanya sasa tunakaribia melting point kabisa [emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Uchaguzi umechangamka mapema sana huu
 
Bora uzunguke mitaani unakoishi au karibu unaweza ambulia hata mambo mapya na kujua ukweli nani ana nafasi kubwa ya ushindi kuliko huko Twitter na hapa Jamii Forums kwani hata siku moja mitandao haipigi kura.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom