Kunywa maji mengi kama ngamiaNdugu zangu, kuanzia mnamo tarehe 10 Desemba mpaka leo tarehe 15 Desemba 2024 sisi WANAUME wa DAR tumeishi kwa tabu sana na hali hii ya hewa.
Joto limekuwa kali sana na hali ya mawingu haijasaidia kulipoozesha.
Usiku wa kuamkia leo imenilazimu kujimwagia maji mara mbili zaidi baada ya kuamshwa na joto kali sana.
Hali hii inatokana na nini?
Wataalam wa afya wanasemaje kuhusu kulikabili joto la Dar?
Chakula cha usiku hakiliki vizuri
Kauli hii inawaalika wazee wa kububujikwa na machozi ya furaha Lucas Mwashambwa, chiembe na TlaatlaahTunamshukuru mama Samia kwa kutuletea joto.
Hameni hakufaiNdugu zangu, kuanzia mnamo tarehe 10 Desemba mpaka leo tarehe 15 Desemba 2024 sisi WANAUME wa DAR tumeishi kwa tabu sana na hali hii ya hewa.
Joto limekuwa kali sana na hali ya mawingu haijasaidia kulipoozesha.
Usiku wa kuamkia leo imenilazimu kujimwagia maji mara mbili zaidi baada ya kuamshwa na joto kali sana.
Hali hii inatokana na nini?
Wataalam wa afya wanasemaje kuhusu kulikabili joto la Dar?
Chakula cha usiku hakiliki vizuri
Ukishtuka usiku......Ndugu zangu, kuanzia mnamo tarehe 10 Desemba mpaka leo tarehe 15 Desemba 2024 sisi WANAUME wa DAR tumeishi kwa tabu sana na hali hii ya hewa.
Joto limekuwa kali sana na hali ya mawingu haijasaidia kulipoozesha.
Usiku wa kuamkia leo imenilazimu kujimwagia maji mara mbili zaidi baada ya kuamshwa na joto kali sana.
Hali hii inatokana na nini?
Wataalam wa afya wanasemaje kuhusu kulikabili joto la Dar?
Chakula cha usiku hakiliki vizuri
Kawaida mawingu yakiwa mengi bila mvua ndivyo joto linavyozidiNdugu zangu, kuanzia mnamo tarehe 10 Desemba mpaka leo tarehe 15 Desemba 2024 sisi WANAUME wa DAR tumeishi kwa tabu sana na hali hii ya hewa.
Joto limekuwa kali sana na hali ya mawingu haijasaidia kulipoozesha.
Usiku wa kuamkia leo imenilazimu kujimwagia maji mara mbili zaidi baada ya kuamshwa na joto kali sana.
Hali hii inatokana na nini?
Wataalam wa afya wanasemaje kuhusu kulikabili joto la Dar?
Chakula cha usiku hakiliki vizuri
nunua kiyoyozi gentleman kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ya joto, otherwise, utalalamika na kupata mawenge huku ukumlaumu kila mtu kuhusu mabadiliko hayo ya hali ya hewaKauli hii inawaalika wazee wa kububujikwa na machozi ya furaha Lucas Mwashambwa, chiembe na Tlaatlaah
Kila tabu ni Dar ππππNdugu zangu, kuanzia mnamo tarehe 10 Desemba mpaka leo tarehe 15 Desemba 2024 sisi WANAUME wa DAR tumeishi kwa tabu sana na hali hii ya hewa.
Joto limekuwa kali sana na hali ya mawingu haijasaidia kulipoozesha.
Usiku wa kuamkia leo imenilazimu kujimwagia maji mara mbili zaidi baada ya kuamshwa na joto kali sana.
Hali hii inatokana na nini?
Wataalam wa afya wanasemaje kuhusu kulikabili joto la Dar?
Chakula cha usiku hakiliki vizuri
Kuna kipindi niko dar nikanywa maji lita 3 mfululizo halafu sikupata haja ndogo kabisa hadi baadae sana usiku tena mara moja. Nilishangaa sanaKunywa maji mengi kama ngamia
π€π€π€ DuuhTunamshukuru mama Samia kwa kutuletea joto.