Joto linapozidi Bongo warembo hutoka hivi

kitu south hiko, cape town kama sikosei
 
hahaha Mademu wa Kenya hawa wanapatikana kwenye kenyanlist.com
 
Hapo katikati bana si nchezo lol bia ya Miller imetupa mambo sijui wamelipwa shilingi ngapi kwa kutangaza bia ya Miller huku wakiwanga

It is very expensive to be poor! - The Late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
 
Hawa warembo wasitutishe hamna lolote, unawaona wako kwenye promosheni ya miller halafu wanalipwa buku ten. hamna kitu hoa
 
hahaha Mademu wa Kenya hawa wanapatikana kwenye kenyanlist.com



Ahsante mkuu kwa kunijulisha maana nilipofungua tu picha nikajiuliza mbona wabaya hivyo?Kumbe ni watani wa jadi ,hapo wala sishangai ukiiangalia vuzuri hiyo picha utafikiri imechakachuliwa hakuna proportionality kwenye miili yao na huyo wa pili toka kushoto ndo lah utafikiri kibibijitu.
 
Huyo wa kati si ndio nanii wa hapa JF? Oooh! sorry nisije nikaanika siri za watu Mwenye shida ani PM. Lakini sharti afanye siri pindi nikimtajia.

Ni msukuma wa pale Maganzo (origin).... she is not Keii's, Hope yupo kikazi with Miller
 
Wacha urongo wewe..tangazo la lini? bongo ya wapi? majina yao je?

toka shoto: martha wanjiku,olisa johansen obuya, teddy waitaita, magret wanjara.............tonge malizia tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…