Joto linapozidi Bongo warembo hutoka hivi

Wa katikati ah........we wacha tu ial mbona kama picha wameichakachua?
 

Toro,

Hiyo picha ni ya mademu wa KENYA usiwadanganye watu ume copy toka brog za KENYA niliiona hii mwakajana kwenye blog zao iweje ati iwe bongo acha uchuro

 
Akiwaona king Mswati,itakuwa shughuli pevu
 
huyo wa nne anapenda ugomvi duu utadhani anataka kumshindilia jigumi mwenzie
 
Huyo wa kati kati ni wa ukweli sana naweza kumnunulia hata treni na reli yake wallah
 
hata sea cliff wapo kuna mmama wa kizungu huwa anawavalisha wadada hivyo MILLER BEER PROM
 
Huyo wa kati kati ni wa ukweli sana naweza kumnunulia hata treni na reli yake wallah

ha ha ha ha ha ha mkuu umenichekesha sana ila kitu cha haja hicho utafikiri alijambwa aisee
 
Mh!Muache Mungu aumbe,huyo wa 3 iz somthing!but i have seen zaidi lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…