Huyo wa kati kati ni wa ukweli sana naweza kumnunulia hata treni na reli yake wallah
Wataalamu wenyewe wanakuambia 'Mla ni mla leo mla jana kala nini'
Stop hatin'
Vipi wa kwanza tu ndo mnywaji? Wa pili ndo kabisa aonyesha alichoshika kama dawa chungu vile!!