Joyce Kiria ameachana na mumewe?

Ata najua basi mkuu, mwenyewe ndo nasikia kwako
 
Yule na mtu anayestahili standards za kuheshimiwa ni mjinga na mpuuzi yule mdada!

Sasa apambane na khali yake kahaba mkubwa.
kama sikosei ni yeye alisema kwasababu ni mwanamke mzuri ametongozwa na wanaume wengi mno hivyo idadi ya aliolala nao hata 300 inafika....ati yeye anajiona mzuri....ameaibisha kabila la wachaga lote hakika.
 
Nenda kapashe kipori hicho maana naona unakihangaikia sana.
 
Kileo hata tofauti na kiria, wote akili sawa, kilichobaki wote wavaliane tu magauni. huwezi kumnyang'anya mwanaume mwenzio mke, ukamwacha aendelee kumwaibisha, angekuwa na hekima angemshauri waishi maisha yao...tatizo wote sifuri na kileo analishwa na kawekwa kama maksai wa kuzalisha tu....mwanaume gani sasa uyo,....si anatuaibisha wanaume wenzie? unawekwa mjini na mwanamke tena wa type ya joyce kiria? hujui mtaji unaokulisha hapa mjini mwanaume mwenzio aliyepiga iyo mbunye 8 years aliweka mtaji, sawa tu wote mnakula matunda ya dj nelly...shwain.
 
nilitaka kushangaa,unawezaje kuwa na mwanamke feminist? huyo mumewe kama amemuacha lazima ustawi wa jamii unamuhusu
 
Itakuwa mara ya pili.wa Kwanza c Yule DJ wa Clouds FM.
 
Huyo Kileo ndo kala za mbavu. Alikuwa anasaidiwa maisha tu kwasababu mangi mwenzake baada ya mdada kumchuna pesa Mtu mwingine na kuanzisha Wanawake Live.
- Sasa Kileo hana kazi, kila siku yuko mitandaoni " Pipooz pipooz" kwanini asile KIBUTI.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Huyo Kileo ndo kala za mbavu. Alikuwa anasaidiwa maisha tu kwasababu mangi mwenzake baada ya mdada kumchuna pesa Mtu mwingine na kuanzisha Wanawake Live.
- Sasa Kileo hana kazi, kila siku yuko mitandaoni " Pipooz pipooz" kwanini asile KIBUTI.
Ahahahahahahaa, Mna maneno nyie, utafikiri mlikunywa maji ya chooni,
 
Yule na mtu anayestahili standards za kuheshimiwa ni mjinga na mpuuzi yule mdada!

Sasa apambane na khali yake kahaba mkubwa.

Uliomba nini ' Mbunye ' na akakupiga ' dochi ' la mbali Mkuu? Mara nyingi Wanaume wenye tabia kama zako za kuwachukia Mademu / Wanawake bila sababu za msingi huwa wanakuwa wamepigwa ' dochi ' la maana hivyo wakisikia tu kuwa huyo Demu / Mwanamke kapatwa na tatizo / dhahama wao hufurahia kama sehemu yao ya kupunguza machungu yao ya kupigwa nae ' dochi '.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…