Mkuuu acha matusi nimekuuliza kistaarabu tuuVisokorokwinyo vyake mpo wengi
Na wew umeingiaje hapa?
Nisamehe bure mkuuMkuuu acha matusi nimekuuliza kistaarabu tuu
Ndoa ya kwanza ndo ilikuwa ya kanisani, ya pili ya bomaniJidanganye tu huyo dada ameshaolewa mara 2 kanisani
NashukuruNisamehe bure mkuu
Ila sijakutukana mkuu
Nimetengua kauli mkuu
Kwa hiyo Kileo yuko huru kuolewa na mwanamke mwingineHuyo Kileo ndo kala za mbavu. Alikuwa anasaidiwa maisha tu kwasababu mangi mwenzake baada ya mdada kumchuna pesa Mtu mwingine na kuanzisha Wanawake Live.
- Sasa Kileo hana kazi, kila siku yuko mitandaoni " Pipooz pipooz" kwanini asile KIBUTI.
Hawajaachana wapo wote. Hata hiyo post baada ya dk.Mumewe alitokea Na wanachekamume wake yule aliyemkapeniaga apate ubunge...akakosa...???..
kama angepata sidhani kama hili lingejiri....
wanawake maslahi wanajidaigi na kauli mbiu ya haki sawa...
matokeo yake wanatupanda kichwani......
Talaka zinatolewa vizuri tu . Uwe sababu muhimu zinazoeleweka.Makanisa yapi?
Mkuu, mbona ameolewa mara mbili?Bado ana ndoa yake. Ndoa za kanisani hazina talaka.
Unaweza kumwelimisha mwalimu wako wewe? Yeye ni celeb, ana wanafunzi kibao nyuma yake, usitegemee ni rahisi kumwelimisha.Hawajaachana wapo wote. Hata hiyo post baada ya dk.Mumewe alitokea Na wanacheka
Watu kumbe mnafurahia watu waachane??
Kama ana makosa aelimishwe Si vizuri kumwombea Mabaya.
Ni kweli ana vimambo vyake Na kutaka kuiga vya Ulaya but taratibu aelimishwe.Atachange kidogo kidogo