Huyo kaka yuko kama shoga hivi, yeye na kiria wamekutana akili ndogo acting like teenegerHuyo mkaka ni mchaga wa marangu ukoo wao ni kyara. Amekulia ilala mchikichini ktk kanisa la kilokole,baba yake alikuwa mchungaji wa hilo kanisa sasa ni marehem.
[emoji23][emoji23][emoji23]sijui kwanini hata makumgwi wengi Hawana mahusiano kabisaKWENYE BIASHARANA NA UJASILIAMALI WALIMU WETU NI WAFANYA BIASHARA WALIO FANIKIWA
KWENYE NDOA NA MAHUSIANO YA LEO WALIMU WETU NII WALE WALIOSHINDWA
NI KWAMBA HATA UKIWA FEMINISM..NYE-GE ZIKO PAAAAALE PALE 🤣.kuna baadhi ya wanawake ni mfano mbaya kabisa kwa mabinti zetu. ningekuwa mzazi wa huyu binti wala nisingekuwa proud kuwa baba yake. the way alivyomwaibisha yule mume wa kwanza, na the way mkuki kwa nguruwe ulivyokuja kumrudia kwa kileo, ni fundisho kwa wanawake wengi. feminism is vandalism kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo kaka yuko kama shoga hivi, yeye na kiria wamekutana akili ndogo acting like teeneger
Hapo ni mbwa kala mbwaJamaa kapigwa, Hamna MKE hapo[emoji4]
NiiceMtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.
Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza
"Jamani msipotoshe watu. Ebu tuelewane hapa. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…
Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]
Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"
Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559
Nice coupleMtangazaji wa East Africa Tv Joyce Kiria amemtambulisha Mpenzi wake mpya.
Mtangazaji huyo amedai Mpenzi wake huyu mpya ni mchagga na wamefahamiana kabla hajaingia kwenye ndoa zake zote mbili.
Mchagga huyo anaisha Ugaibuni Ulaya Taarifa yake imeeleza
"Jamani msipotoshe watu. Ebu tuelewane hapa. Nilipost siku chache leo Narudia tena sehemu hii ya utambulisho wa shemeji yenu…
Shemeji yenu anaitwa Aaron, ni mtanzania mchaga, ana watoto wawili wa kike 14yrs na 6yrs, ni mtalaka, anaishi Uingereza, tunafahamiana zaidi ya miaka 20 iliyopita, ni kabla kabisa sijaolewa ndoa hata moja… huyu ndo shem wenu wa kwanza, alienda zake kuishi huko majuu akaendelea na maisha yake na mimi nilibaki bongo Naendelea na maisha yangu, tulipokutana this time kila mmoja yuko singo ndo tukatudisha mapenzi yetu [emoji12] MPO? [emoji2368]
Haya Kazi Iendelee nawapenda sana [emoji8]
Wana JF ikumbukwe huyu dada alikuwa akihamasisha wanawake wawe huru kwa waume zao na ikiwezekana waachane na mabwana zao kwa Talaka kwakuwa u single mother ni "kuinjoy life"
Ajabu leo amemrudia Ex wa miaka ishirini nyuma.
View attachment 2040559